Kipa mkongwe wa Simba, Ivo Mapunda amemtetea Barthez kwa kusema hastahili lawama kwa bao alilofungwa.
Ivo aliyewahi kudakia Yanga kwa zaidi ya misimu miwili amesema Barthez hastahili kulaumiwa kwa kuwa amefungwa bao bora.
“Bado
naamini Barthez ni kipa bora na mwenye uwezo wa juu,...