SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 29, 2015

KURASA ZA MAGAZETI YA MICHEZO LEO MAY 29

MESSI ALIVYOJIVINJARI UFUKWENI NA DEMU WAKE MJAMZITO SAMBAMBA NA MTOTO WAO WA KIUME A+ A- Print Email Wanasoka kadhaa barani Ulaya tayari wameshajitosa ufukweni wakiwa wamemaliza msimu wao, lakini supastaa wa Barcelona, Lionel Messi nae ameamua kupata wasaa wa kupunga upepo 'beach' ingawa...

SASA NI RASMI SIMBA YAMTEMA MESSI

Kikosi cha Simba, rasmi kimetangaza kumtema kiungo wake Ibrahim Twaha ‘Messi’. Messi alisajili na Simba misimu miwili iliyopita, lakini hakupata nafasi ya kutosha kuonyesha cheche zake. Ingawa alianza kuonyesha cheche wakati wa Abdallah Kibadeni, baada ya Zdravko Logarusic kutwaa...

AZAM FC YAAJIRI MAKOCHA KUTOKA UINGEREZA

*Watoka Arsenal, Southampton za Uingereza Na Bertha Lumala, Dar es Salaam ‘Baada ya muda mrefu wa fununu, Azam wamekata kiu leo na kuanika makocha wao wapya wanaotoka Uingereza.’ HII KUFURU! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya jana uongozi wa Azam FC kumtangaza Muingereza Stewart John Hall kuwa...

MUSSA MGOSI ‘MABAO’, ASAINI MSIMBAZI

Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM SIMBA SC imemsajili tena mshambuiaji wake wa zamani, Mussa Hassan Mgosi (pichani juu) leo hii, baada ya takriban misimu miwili mizuri akiwa na Mtibwa Sugar ya Morogoro. Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe ameiambia BIN ZUBEIRY...