SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

HII NDIO DROO KOMBE LA FA

SIMBA CHALII KESSY AONESHWA NYEKUNDU

MANARA APATA AJALI

MKENYA APIGA MBILI LIVERPOO IKIUA 4-1

May 29, 2015

KURASA ZA MAGAZETI YA MICHEZO LEO MAY 29

DSC03071 DSC03072 DSC03073 DSC03074 DSC03075 DSC03076
MESSI ALIVYOJIVINJARI UFUKWENI NA DEMU WAKE MJAMZITO SAMBAMBA NA MTOTO WAO WA KIUME A+ A- Print Email Wanasoka kadhaa barani Ulaya tayari wameshajitosa ufukweni wakiwa wamemaliza msimu wao, lakini supastaa wa Barcelona, Lionel Messi nae ameamua kupata wasaa wa kupunga upepo 'beach' ingawa bado ana mataji mawili ya kupigania ndani ya siku tisa zijazo. Nyota huyo wa kimataifa wa Argentina - ambaye ameng'ara na kutupia wavuni mabao 56 msimu huu, alikuwa kwenye ufukwe jijini Barcelona yeye na mpenzi wake Antonella Roccuzzo sambamba na mtoto wao wa kiume Thiago. Messi na wachezaji wenzake wa Barcelona wataikabili Athletic Bilbao Jumamosi hii katika fainali ya Copa del Rey itakayopigwa Nou Camp kabla ya kuikabili Juventus kwenye fainali ya Champions League itayochezwa Berlin Ujerumani wiki moja baadae. Lionel Messi and his girlfriend Antonella Roccuzzo enjoyed some time together at the beach in Barcelona Lionel Messi na mpenzi wake Antonella Roccuzzo wakipunga upepo ufukweni The couple looked on as their son Thiago played in the sand nearby as Messi prepares for two cup finals Hapa wakimtazama mototo wao Thiago akicheza mchangani Pregnant Antonella soaked up the sun on the beach while enjoying a low-key day out on Thursday Antonella akijivinjari beach na kitumbo chake Growing brood: The pair are expecting their second child, reportedly a boy who they will call Benjamin Messi na mpenzi wake wanategemea mtoto ajae ataitwa Benjamin Antonella laid a protective hand on her bump as he reclined on her four-time Ballon d'Or winning partner Antonella na Messi Antonella, Messi na mtoto wao Thiago

Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2015/05/messi-alivyojivinjari-ufukweni-na-demu.html
Copyright © saluti 5
MESSI ALIVYOJIVINJARI UFUKWENI NA DEMU WAKE MJAMZITO SAMBAMBA NA MTOTO WAO WA KIUME A+ A- Print Email Wanasoka kadhaa barani Ulaya tayari wameshajitosa ufukweni wakiwa wamemaliza msimu wao, lakini supastaa wa Barcelona, Lionel Messi nae ameamua kupata wasaa wa kupunga upepo 'beach' ingawa bado ana mataji mawili ya kupigania ndani ya siku tisa zijazo. Nyota huyo wa kimataifa wa Argentina - ambaye ameng'ara na kutupia wavuni mabao 56 msimu huu, alikuwa kwenye ufukwe jijini Barcelona yeye na mpenzi wake Antonella Roccuzzo sambamba na mtoto wao wa kiume Thiago. Messi na wachezaji wenzake wa Barcelona wataikabili Athletic Bilbao Jumamosi hii katika fainali ya Copa del Rey itakayopigwa Nou Camp kabla ya kuikabili Juventus kwenye fainali ya Champions League itayochezwa Berlin Ujerumani wiki moja baadae. Lionel Messi and his girlfriend Antonella Roccuzzo enjoyed some time together at the beach in Barcelona Lionel Messi na mpenzi wake Antonella Roccuzzo wakipunga upepo ufukweni The couple looked on as their son Thiago played in the sand nearby as Messi prepares for two cup finals Hapa wakimtazama mototo wao Thiago akicheza mchangani Pregnant Antonella soaked up the sun on the beach while enjoying a low-key day out on Thursday Antonella akijivinjari beach na kitumbo chake Growing brood: The pair are expecting their second child, reportedly a boy who they will call Benjamin Messi na mpenzi wake wanategemea mtoto ajae ataitwa Benjamin Antonella laid a protective hand on her bump as he reclined on her four-time Ballon d'Or winning partner Antonella na Messi Antonella, Messi na mtoto wao Thiago

Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2015/05/messi-alivyojivinjari-ufukweni-na-demu.html
Copyright © saluti 5
MESSI ALIVYOJIVINJARI UFUKWENI NA DEMU WAKE MJAMZITO SAMBAMBA NA MTOTO WAO WA KIUME A+ A- Print Email Wanasoka kadhaa barani Ulaya tayari wameshajitosa ufukweni wakiwa wamemaliza msimu wao, lakini supastaa wa Barcelona, Lionel Messi nae ameamua kupata wasaa wa kupunga upepo 'beach' ingawa bado ana mataji mawili ya kupigania ndani ya siku tisa zijazo. Nyota huyo wa kimataifa wa Argentina - ambaye ameng'ara na kutupia wavuni mabao 56 msimu huu, alikuwa kwenye ufukwe jijini Barcelona yeye na mpenzi wake Antonella Roccuzzo sambamba na mtoto wao wa kiume Thiago. Messi na wachezaji wenzake wa Barcelona wataikabili Athletic Bilbao Jumamosi hii katika fainali ya Copa del Rey itakayopigwa Nou Camp kabla ya kuikabili Juventus kwenye fainali ya Champions League itayochezwa Berlin Ujerumani wiki moja baadae. Lionel Messi and his girlfriend Antonella Roccuzzo enjoyed some time together at the beach in Barcelona Lionel Messi na mpenzi wake Antonella Roccuzzo wakipunga upepo ufukweni The couple looked on as their son Thiago played in the sand nearby as Messi prepares for two cup finals Hapa wakimtazama mototo wao Thiago akicheza mchangani Pregnant Antonella soaked up the sun on the beach while enjoying a low-key day out on Thursday Antonella akijivinjari beach na kitumbo chake Growing brood: The pair are expecting their second child, reportedly a boy who they will call Benjamin Messi na mpenzi wake wanategemea mtoto ajae ataitwa Benjamin Antonella laid a protective hand on her bump as he reclined on her four-time Ballon d'Or winning partner Antonella na Messi Antonella, Messi na mtoto wao Thiago

Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2015/05/messi-alivyojivinjari-ufukweni-na-demu.html
Copyright © saluti 5

SASA NI RASMI SIMBA YAMTEMA MESSI


Kikosi cha Simba, rasmi kimetangaza kumtema kiungo wake Ibrahim Twaha ‘Messi’.

Messi alisajili na Simba misimu miwili iliyopita, lakini hakupata nafasi ya kutosha kuonyesha cheche zake.
Ingawa alianza kuonyesha cheche wakati wa Abdallah Kibadeni, baada ya Zdravko Logarusic kutwaa ‘madaraka, mambo yalibadilika.
Tokea hapo, Messi huyo wa Tanga aliendelea kupotea taratibu, hadi Simba ilipomtema.
Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe amesema, tayari wamempa ruksa.
“Kweli, Twaha tumemuacha aende. Unajua kama unaona inafikia unalazimika kufanya jambo fulani, basi ni vizuri kulifanya mapema,” alisema.

Hivi karibuni, Twaha amekuwa akisikika akisema kwambaa ana mpango wa kuachana na Simba, hivyo timu yoyote inaweza kumsajili kulingana na maelewano yao.

AZAM FC YAAJIRI MAKOCHA KUTOKA UINGEREZA

stewart
*Watoka Arsenal, Southampton za Uingereza
Na Bertha Lumala, Dar es Salaam
‘Baada ya muda mrefu wa fununu, Azam wamekata kiu leo na kuanika makocha wao wapya wanaotoka Uingereza.’

HII KUFURU! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya jana uongozi wa Azam FC kumtangaza Muingereza Stewart John Hall kuwa kocha mkuu mpya akisaidia na makocha kutoka klabu kubwa za soka ulimwenguni ikiwamo Arsenal ya Ligi Kuu ya England (EPL).
Baada ya muda mrefu wa kusubiri kitakachojiri, uongozi wa Azam kupitia kwa msemaji wake, Jaffar Idd Maganga, leo umetangaza kumrejesha Hall na mabadiliko mengine makubwa katika benchi la ufundi.

Maganga amesema kuwa Hall aliyewahi kuinoa Azam FC na kuipa mafanikio makubwa ukiwamo ubingwa wa msimu wa 2013/14 wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (ingawa aliishia mzunguko wa pili na kumpisha Mcameroon Joseph Omog), amepewa mkataba wa miaka miwili na atakuwa akisaidiwa na Mganda George ‘Best’ Nsimbe.

“Kuna ongezeko na punguzo katika benchi la ufundi na idara ya utawala na fedha kutokana na uamuzi uliofanywa na uongozi wa Azam FC leo (jana),” amesema.
Mark Philip raia wa Uingereza aliyewahi kufanya kazi katika klabu ya Bolton Wanderers ya Uingereza na kituo cha kulea vijana wenye vipaji (Academy) cha klabu ya Aston Villa ya Uingereza pia, anakuwa kocha wa makipa wa Azam akisaidiwa na mzawa Idd Abubakar.

Philip mwenye leseni A ya UEFA katika ukocha, amepewa mkataba wa miaka miwili na matajiri hao wa Tanzania.

Aidha, Mromania Mario Mariana ameajiriwa kuwa kocha wa timu ya vijana ya Azam na atasaidiwa na wazawa Dennis Kitambi (aliyekuwa kocha mkuu wa Ndanda FC msimu uliopita kabla ya kutimkia Azam) na Idd Cheche.

Mariana mwenye leseni ya UEFA Pro katika ukocha, pia atakuwa akiionoa timu ya Azam ya wakubwa akiwa kocha wa viungo (Physical Fitness).
Katika idara ya utawala na fedha uongozi wa Azam FC umemwajiri Muingereza mwingine, El Bankya kuwa meneja wa idara hiyo.

Muingereza huyo mwenye asili ya Uganda aliyewahi kufanya kazi katika klabu za Arsenal na Southampton za EPL, amepewa mkataba wa miaka miwili pia.
“Waajiriwa wote wapya wanatarajiwa kuwasili jijini Dar es Salaam Juni 8 na tutaanza rasmi kambi ya michuano ya Kombe la Kagame Juni 15 hapa Dar es Salaam,” amesema zaidi Maganga.

MUSSA MGOSI ‘MABAO’, ASAINI MSIMBAZI

Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM
SIMBA SC imemsajili tena mshambuiaji wake wa zamani, Mussa Hassan Mgosi (pichani juu) leo hii, baada ya takriban misimu miwili mizuri akiwa na Mtibwa Sugar ya Morogoro.
Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe ameiambia BIN ZUBEIRY leo mjini Dar es Salaam kwamba wamemrejesha Mgosi kikosini baada ya kuvutiwa na juhudi zake akiwa Mtibwa.
“Kwa Mgosi, Simba ni nyumbani kwake. Alikuwa hapa, tukamuuza DC Motema Pembe (ya DRC), akarudi, akaenda Mtibwa. Na sisi, baada ya kuona bado ana uwezo wa kuisaidia timu yake, tumemrejesha,”amesema Kapteni wa zamani wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
Mgosi alisajiliwa na Simba SC mwaka 2005 kutoka Mtibwa Sugar na mwaka 2012 akauzwa DC Motema Pembe ya DRC, ambako alicheza kwa misimu miwili.
Mwaka jana, Mgosi alirejea nyumbani baada ya kumaliza Mkataba wake Kongo na kusaini timu yake ya zamani, Mtibwa- lakini baada ya kung’ara Manungu kwa misimu miwili, amerejeshwa kundini.
Mgosi anakuwa mchezaji wa nne kusajiliwa Simba SC ndani ya wiki moja, baada ya awali klabu hiyo kuwasajili kiungo Peter Mwalyanzi kutoka Mbeya City, mabeki Samih Hajji Nuhu kutoka Azam FC na Mohammed Fakhi kutoka JKT Ruvu.
Bahati nzuri ilioyoje kwa Wekundu wa Msimbazi, kama ilivyokuwa kwa Mwalyanzi, Nuhu na Fakhi- Mgosi pia anarejea Simba SC kama mchezaji huru baada ya kumaliza Mkataba wake Manungu.