![]() |
| Kiungo wa Yanga SC, Haruna Niyonzima akimtoka Mohammed Samatta wa Mgambo |
![]() |
| Simon Msuva wa Yanga SC, akimtoka Ramadhan Malima wa Mgambo |
![]() |
| Amisi Tambwe wa Yanga SC akiwa ameruka kupiga mpira kichwa dhidi ya mabeki wa Mgambo |
![]() |
| Beki wa Yanga SC, Kevin Yondan akiwa ameruka juu kugombea mpira na Malimi Busungu wa Mgambo |
![]() |
| Mshambuliaji wa Yanga SC, Kpah Sherman akiwatoka mabeki wa Mgambo |
























