SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Jun 4, 2015

NOOIJ ABEBA 23 TAIFA STARS SAFARI YA ADDIS KUFUATA DAWA YA 'KUNYONGA' MAFARAO

Na Baraka Kizuguto, DAR ES SALAAM KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Mart Nooij ametangaza kikosi cha wachezaji 23 watakaoondoka leo jioni kuelekea Addis Ababa nchini Ethiopia kuweka kambi ya wiki moja kujiandaa na mchezo dhidi ya Misri Akizungumza na Waandishi wa...

MANCHESTER UNITED IMEWAPIKU BARCELONA NA BAYERN KUMNASA MCHEZAJI HUYU

Usajili ndio mpango mzima hivi sasa huko Ulaya. Manchester united imewashinda Bayern Munich na Barcelona kwenye vita ya kupaya saini ya mchezaji wa Borussia Dortmund. Mchezaji huyo ambae anacheza sehemu ya midfield amesakubaliana mambo ya msingi na Manchester united. Gundogan anatarajiwa  ...

MAKOMBE 24 KABLA YA KUONDOKA, JE BABU XAVI ANAWEZA KUONGEZA MOJA JUMAMOSI?

Wakati Xavi Harnandez ,35, anajiandaa na kustaafu rasmi baada ya kuitumikia Barcelona kwa miaka 17 ya maisha yake, swali je, atafanikiwa kuongeza kombe jingine hapo keshokutwa. Barcelona inashuka dimbani mjini Berlin, Ujerumani kucheza fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Juventus...

MWADUI YA JULIO YAIBOMOA TENA MBEYA CITY, YAMTWAA STRAIKA PAUL NONGA

Kama ulidhani Mwadui Football club wanafanya utani, basi ujue unajidanganya maana sasa wamemsajili straika tegemeo wa Mbeya City, Paul Nonga. Nonga amemsajili Nonga ambaye aliwahi kuichezea ikiwa daraja la tatu klabla ya kuondoka na kujiunga na JKT Oljoro ya Arusha. Nonga amejiunga...