Unaweza kudhani ni utani, lakini ukweli ni
kwamba kati ya Waivory Coast
wanaocheza soka hapa nchini ni Pascal
Wawa (Azam FC) na Vincent Angbani
(Simba) wanaojulikana kuwa wanacheza
soka Tanzania, lakini upande wa
mwenzao fowadi wa Azam, Kipre
Tchetche kuna kitu ambacho
kinashangaza kidogo.
Kwa hapa...