SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Jan 22, 2016

KUMBE KIPRE KWAO ANAJULIKANA NA MAJIRANI TU

Unaweza kudhani ni utani, lakini ukweli ni kwamba kati ya Waivory Coast wanaocheza soka hapa nchini ni Pascal Wawa (Azam FC) na Vincent Angbani (Simba) wanaojulikana kuwa wanacheza soka Tanzania, lakini upande wa mwenzao fowadi wa Azam, Kipre Tchetche kuna kitu ambacho kinashangaza kidogo. Kwa hapa...