SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Apr 11, 2016

FARID KUWAKOSA ESPERANCE MECHI YA MARUDIO ANAENDA ULAYA KUTAFUTA ULAJI

Na Haji balou KLABU ya Azam FC itamkosa kiungo Farid Mussa Malik (pichani kushoto) katika wa mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Esperance nchini  Tunis wiki ijayo. Baada ya kufunga bao la kusawazisha katika ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza jana Uwanja...

MANARA APATA AJALI

Na Haji balou Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano cha Simba, Haji Manara amepata ajali mbaya. Manara amepata ajali baada ya kuchomoka tokea ndani ya Bajaj na kuanguka barabarani. Kuanguka huko kumesababisha Manara kupata majeraha sehemu za mkononi na usoni hukua kisema amenusurika kifo kutokana...