Di Maria
Di
Maria hajaonyesha umahiri wake tangu aliposajiliwa katika kilabu ya
Manchester united kutoka Real Madrid na inaaminika kwamba yeye na mkewe
hawajazoea maisha ya...
Mshambuliaji wa Simba Emmanuel Okwi ameibuka shujaa katika mchezo wa leo baada ya kuisaidia timu yake kuibuka na ushindi mwembamba wa goli 1-0 dhidi ya Yanga jioni hii. Okwi alifunga goli hilo dakika ya 52 baada ya kumchungulia kipa wa Yanga Barthez aliye toka langoni mwake.Hawa ni baadhi ya...
Na Amplifaya Amplifaya
Mara nyingi binadamu
kama viumbe hai siku zote huwa tunapenda kuangalia muonekano wa mtu
kiujumla na kukadiria miaka ya mtu husika kuwa huyu atakuwa na umri
huu, wengi huangalia sura au ukomavu wa mwili halikadhalika umbo la
mtu.
Leo nimekuletea
wachezaji ambao...
Usiku
wa March 07 ilikua ni zamu ya mkoa waArusha nao kufikiwa na ile tour ya
Ali Kiba inayoitwa Chekecha Cheke tour,hii ilikua ndani ya viunga vya
Triple A,kama ilivyokuwa kwa Moshi Ali Kiba pia usiku huo.
Leo March 08 Ali Kiba ataimalizia kanda ya kaskazini kwa show kwenye
mpaka Tanzania...
Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam
Kuelekea mchezo wa mahasimu wa
kandanda nchini Simba SC v Yanga SC kesho Jumapili katika uwanja wa
Taifa, Dar es Salaam mshambulizi aliyefunga mabao matano katika michezo
iliyopita Jerson Tegete ameuambia mtandao huu kuwa mechi hiyo itakuwa
ngumu kwa...
Na. Richard Bakana
Kocha msaidizi wa klabu ya
Coastal Union, kutoka Tanga, Jamhuri Kihwero ‘Julio’ ameangushia zingo
la lawama safu yake ulinzi na kusema kuwa wamecheza kipuuzi kitu
kilichopelekea kugawana pointi moja moja na Kagera Sugar kwenye mchezo
wa ligi kuu ya Tanzamia bara uliomalizika...
TIMU
ya Real Madrid imefungwa 1-0 na Athletic Bilbao Uwanja wa San Mames
usiku huu na maana yake iwapo Barcelona itaifunga Rayo Vallecano kesho
mchana itapanda kileleni mwa La Liga.
Gareth
Bale aligongesha mwamba akiwa umbali wa mita 50 kabla ya Aritz Aduriz
kufunga kwa kichwa...