
Na Haji balou
MAUMIVU ya moyo
yamemshinikiza Mwanasoka
Bora wa Dunia, Lionel Messi
kustaafu kuichezea timu
yake ya taifa ya Argentina
baada ya jana kufungwa
katika fainali ya tatu
mfululizo ya Copa America
ndani ya miaka mitatu.
Messi si mgonjwa wa moyo,
bali ameumizwa n a kitendo
cha kukosa penalti...