SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Jun 27, 2016

HAYA NDIO MAAMUZI MAGUMU ALIYOYAFANYA LIONEL MESSI

Na Haji balou MAUMIVU ya moyo yamemshinikiza Mwanasoka Bora wa Dunia, Lionel Messi kustaafu kuichezea timu yake ya taifa ya Argentina baada ya jana kufungwa katika fainali ya tatu mfululizo ya Copa America ndani ya miaka mitatu. Messi si mgonjwa wa moyo, bali ameumizwa n a kitendo cha kukosa penalti...