SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 30, 2015

YANGA YAKODI 'MWEWE' WA SERIKALI KUWAFUATA WAZIMBABWE KOMBE LA SHIRIKISHO

MOJA YA NDEGE ZINAZOMILIKIWA NA SERIKALI YA TANZANIA. Yanga inatarajiwa kwenda Zimbabwe Ijumaa, tayari kuivaa FC Platinum. Kikosi cha Yanga kinatarajia kufanya safari yao ya Zimbabwe kwa kutumia ndege ya serikali. Habari za kuaminika kutoka ndani ya Yanga zimeeleza timu hiyo itasafiri...