SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Jan 24, 2016

HILI NDIO GOLI AMBALO KAPOMBE HAWEZI KULISAHAU AKIWA AZAM FC

Kapombe amesema kuwa hataweza kulisahau bao alilofunga dhidi ya Ndanda goli ambalo liliipa ushindi wa bao 1-0 timu yake ya Azam fc katika mchezo uliofanyika Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara. “Kwa kweli mimi nalifurahia sana bao nililofunga dhidi ya Ndanda dakika za mwisho, lilikuwa ni bao muhimu...