Kapombe amesema kuwa
hataweza kulisahau bao alilofunga dhidi ya Ndanda goli ambalo liliipa ushindi wa bao 1-0 timu yake ya Azam fc katika mchezo uliofanyika Uwanja wa Nangwanda
Sijaona, Mtwara.
“Kwa kweli mimi nalifurahia sana bao nililofunga
dhidi ya Ndanda dakika za mwisho, lilikuwa ni
bao muhimu...