SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

HII NDIO DROO KOMBE LA FA

SIMBA CHALII KESSY AONESHWA NYEKUNDU

MANARA APATA AJALI

MKENYA APIGA MBILI LIVERPOO IKIUA 4-1

Jan 24, 2016

HILI NDIO GOLI AMBALO KAPOMBE HAWEZI KULISAHAU AKIWA AZAM FC

Kapombe amesema kuwa
hataweza kulisahau bao alilofunga dhidi ya Ndanda goli ambalo liliipa ushindi wa bao 1-0 timu yake ya Azam fc katika mchezo uliofanyika Uwanja wa Nangwanda
Sijaona, Mtwara.

“Kwa kweli mimi nalifurahia sana bao nililofunga
dhidi ya Ndanda dakika za mwisho, lilikuwa ni
bao muhimu sana kwa timu yangu kwani tuliweza
kuondoka na pointi tatu katika mchezo huo
uliokuwa mgumu,” alisema.