
TIMU
ya Manchester United imeifunga Sunderland mabao 2-0 katika mchezo wa
Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Old Trafford.
Ikiongozwa
na washambuliaji Wayne Rooney na Radamel Falcao, timu hiyo ya Louis van
Gaal ilicheza vizuri na kupata ushindi huo kwa mabao ya kipindi...