SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 1, 2015

ROONEY AWAPA RAHA MAN UNITED, APIGA ZOTE MBILI ‘SHETANI’ LIKIUA 2-0 OLD TRAFFORD

TIMU ya Manchester United imeifunga Sunderland mabao 2-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Old Trafford. Ikiongozwa na washambuliaji Wayne Rooney na Radamel Falcao, timu hiyo ya Louis van Gaal ilicheza vizuri na kupata ushindi huo kwa mabao ya kipindi...

SUAREZ AENDELEZA MOTO WA MABAO BARCA IKIPIGA MTU 3-1 LA LIGA

TIMU ya Barcelona imeifunga Granada mabao 3-1 katika La Liga jioni ya leo na kupunguza pengo la pointi dhidi ya vinara Real Madrid hadi kubaki moja.  Ivan Rakitic aliwafungia wageni bao la kuongoza dakika ya 26, kabla ya Luis Suarez kuongeza la pili dakika ya kwanza kipindi...

COASTAL YAIPIGA 1-0 MGAMBO, MVUA YAVUNJA MECHI YA STAND UTD NA KAGERA KAMBARAGE

BAO pekee la Mganda Yayo Kato Lutimba limeipa ushindi wa 1-0 Coastal Union dhidi ya Mgambo JKT jioni ya leo Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.Mganda huyo alifunga bao hilo dakika ya 88 akimalizia pasi ya Suleima Kibuta, baada ya kuingia akitokea benchi dakika ya 56 kuchukua nafasi ya Ayoub Yahya. Ushindi ...

FITINA ZA MAREFA ZAITUPA NJE AZAM FC LIGI YA MABINGWA

AZAM FC imeaga mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, baada ya kufungwa mabao 3-0 na El Merreikh ya Sudan katika mchezo wa marudiano wa Raundi ya Awali uliofanyika Uwanja wa Marreikh mjini Khartoum.Marefa wa mchezo huo kutoka Zambia Wellington Kaoma aliyesaidiwa na Romeo Kasengele...