
MANCHESTER United imeponea chupuchupu kulala mbele ya West Ham United baada ya kuata sare ya 1-1 ugenini usiku huu.
Cheikhou
Kouyate aliifungia West Ham bao la kuongoza dakika ya 49 na United
wakahaha tangu hapo kusaka bao la kusawazisha hadi kuelekea kupoteza
mchezo.
Hata hivyo, kiungo Daley...