SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Feb 8, 2015

BLIND AIOKOA MAN UNITED DAKIKA ZA MWISHO

MANCHESTER United imeponea chupuchupu kulala mbele ya West Ham United baada ya kuata sare ya 1-1 ugenini usiku huu. Cheikhou Kouyate aliifungia West Ham bao la kuongoza dakika ya 49 na United wakahaha tangu hapo kusaka bao la kusawazisha hadi kuelekea kupoteza mchezo. Hata hivyo, kiungo Daley...

MRISHO NGASSA APIGA MBILI YANGA

Mshambuliaji mwenye kasi wa Yanga, Mrisho Khalfan Ngassa ameibuka shujaa baada ya kuifungia Yanga mabao mawili katika mechi dhidi ya Mtibwa Sugar. Yanga imelipa kisasi kwa kuichapa Mtibwa Sugar kwa mabao 2-0 katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar. Katika...

YANGA YAIBULUZA MTIBWA

Timu ya Yanga imeibuka na ushindi wa goli 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar ya Morogoro shukran kwa Mrisho Ngassa ambaye alifunga magoli yote mawili katika kipindi cha pil...

MATOKEO KUTOKA TAIFA

Timu ya Yanga inaongoza goli 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar ya Morogo...

HUYU NDIE MANAGER MDOGO MWENYE UBUNIFU WA KUIBUI VIPAJI ALI KIBA,MATONYA NA WENGINE WAMEPITA KWAKE

Kwa jina kamili anajulikana kama hemed kavu al maarufu  HK.. a.k.a hyperman hk  kijana mwenye kipaji chakugundua na kukuza vipaji vya vijana mbalimbali, wasanii wengi wanaofanya vizuri kwa sasa wamepita kwenye mikono ya hyperman hk nakupata njia nzuri ya mafanikio yao. kipindi...

ALICHOSEMA OKWI KUHUSU UWANJA WA MKWAKWANI

MSHAMBULIAJI nyota wa Simba SC, Emmanuel Okwi amesema Uwanja wa Mkwakwani, Tanga haufai kabisa kwa mechi za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kwa sababu eneo la kuchezea ni baya.Akizungumza na BIN ZUBEIRY jana baada ya mechi dhidi ya wenyeji, Coastal Union ya Tanga, Mganda huyo alisema kwamba hakuna...

KURASA ZA MBELE ZA MAGAZETI YA MICHEZO ZIPO HAPA

LLLL     ...

KAGERA SUGAR YAFUTA MIKOSI IMESHINDA WENGINE WAPATA SARE

HATIMAYE Kagera Sugar imepata ushindi wa kwanza baada ya mechi nne za Uwanja wa nyumbani, kufuatia kuilaza 1-0 Mgambo Shooting Uwanja wa Kambarage, Shinyanga jana.Huo ulikuwa mchezo wa kwanza Kagera wanacheza Uwanja wa Kambarage kama wa nyumbani, baada ya kuhama Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza.  Kagera...

HIVI NDIVYO GERRAD ALIVYO CHEZA DERBY YA MWISHO LIVERPOOL

Mchezaji wa Liverpool Steven Gerrad akifanya shambulizi katika mechi ya jana dhidi ya Everton na timu hizo zilitoshana nguvu kwa kupata suluhu ya bila kufungana.  Everton (4-3-3): Robles 7; Coleman 7, Stones 7, Phil Jagielka 7, Oviedo 6.5; McCarthy 6, Barry 5.5, Besic 7.5 (Alcarez...

MAN CITY ILIPOLAZIMISHWA SARE NYUMBANI NA HULL

Ahmed Elmohamady wa Hull City (katikati) akipambana na beki wa Manchester City, Gael Clichy (kulia) mbele ya kipa Joe Hart katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Etihad. Timu hizo zilitoka 1-1, Hull wakitangulia kupata bao dakika ya 35, mfungaji David Meyler...