SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Feb 4, 2015

SANTIAGO BERNABEU; GOOAAAL

Mambo mazuri kwa upande wa Real Madrid sasa ni mapumziko Madrid wanaongoza goli 2-0 dhidi ya Sevila magoli ya James Rodriguez Dakika 13, na goli la Jese Dakika ya 3...

AFCON; GOOAAALLLL

Dakika ya 68 Ivory Coast wanapata goli la 3-1 dhidi ya Congo DR...

HAYA HAPA NI MATOKEO KUTOKA SANTIAGO BERNABEU REAL MADRID VS SEVILA

James Rodrigues ameipatia goli la kuongoza Real Madrid 1- 0 dhidi ya Sevila sasa ni dakika ya 3...

AFCON MAPUMZIKO MATOKEO YAPO HAPA

 Wachezaji wa Ivory coast wakishangilia moja ya goli lao usiku huu Ivory coast wanaongoza 2-1 dhidi ya congo dr na sasa ni mapumziko....

WEST HAM WAPIGWA FAINI NA FIFA

KLABU ya West Ham imepigwa faini ya Pauni 71,000 na FIFA baada ya kumtumia Diafra Sakho katika mechi ya Kombe la FA siku 18 tangu ajitoe kikosi cha Senegal kilichocheza Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika. Sakho alifunga bao pekee katika ushindi wa 1-0 Uwanja wa Ashton Gate dhidi ya ...

PICHA JUAN CUADRADO ALIVYO ANZA MAZOEZI LEO

Kiungo mpya wa Chelsea, Juan Cuadrado (kushoto) akipokea maelekezo kutoka kwa kocha Jose Mourinho baada ya kuanza mazoezi na timu yake hiyo mpya leo. Cuadrado alisaini Mkataba wa miaka minne na nusu Chelsea juzi kutoka Fiorentina kwa dau la Pauni Milioni 27 na leo amefanya mazoezi kujiandaa...

YANGA YAKAA KILELENI

Na Mahmoud Zubeiry, TANGAYANGA SC imepanda kileleni mwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kufuatia ushindi wa bao 1-0 dhidi ya wenyeji Coastal Union, Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.Shujaa wa pointi tatu za Yanga SC leo ni Nahodha Nadir Haroub Ali ‘Cannavaro’, aliyefunga bao hilo pekee mapema...

YANGA YA NG'AA TANGA

Mpira umeisha uwanja wa mkwakwani Tanga, timu ya Yanga imeibuka na ushindi wa goli 1-0 dhidi Coastal Union shukrani kwa Nadir Haroub "Canavaro" ndiye aliye funga katika mchezo hu...

LULU AAMUA KURUDI SHULE

Mrembo na mwigizaji wa filamu,  ambae kwa sasa ameamua kupiga kitabu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ,  ambae kwa sasa ameamua kupiga kitabu , anadaiwa kuwafunika kimasomo wanafunzi wenzake katika Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kilichopo Magogoni-Posta...

ALICHOSEMA WAKALA WA DE GEA

   Hatimaye wakala wa David De Gea - Super Agent Jorge Mendes amesema mchezaji huyo atabakia Manchester United pamoja na Madrid kuonyesha nia ya kumtaka. Amesema De Gea amebakiza mkataba wa mwaka mmoja, na ana furaha kuongeza mkataba mpya na kuendelea kuwepo Old Traffor...

ALICHOSEMA FEROUZ KUHUSU MGAHAWA WAKE AMBAO UNAFUNGULIWA LEO

  Baada ya msanii ferooz kuzungumzia ishu yake ya kufungua mgahawa wake wa Hollywood Café msanii huyo amesema kuwa leo ndio siku ambayo amefungua mgahawa huo ambao utakuwa unatoa huduma mbali mbali  za chakula ambao uko maeneo ya Darfree Market na kuwataka mashabiki wake wote wakaribie...

KUTOKA MKWAKWANI TANGA GOOOAAALLLLLL

Yanga 1 - 0 Coastal union...

SSERENKUMA AWEKA REKODI VPL

Baada ya kufanikiwa kuipa ushindi wa mabao 2-1 klabu yake ya Simba mbele ya JKT Ruvu Jumamosi iliyopita, mshambuliaji wa klabu hiyo, Mganda, Danny Sserunkuma, ameweka rekodi ndani ya klabu hiyo ya kuwa mchezaji pekee aliyepachika bao la mapema zaidi katika mechi za ligi kuu msimu huu. Sserunkuma...

TWITE AOMBA MKATABA YANGA

Beki wa Yanga, Mbuyu Twite, raia wa Congo, ameomba kufungwa kitanzi mapema na timu yake hiyo kwa kusema kuwa yupo tayari kuongeza mkataba iwapo uongozi wa timu hiyo utafanya hivyo. Twite aliyesajiliwa Yanga msimu mmoja uliopita, anatarajia kumaliza mkataba wake na timu hiyo mwishoni mwa msimu...

YANGA YAMGEUKA MRISHO NGASSA

  Uongozi wa Klabu ya Yanga umefunguka kuwa hauhusiki na deni la mshambuliaji wao, Mrisho Ngassa anayedaiwa fedha na Benki ya CRDB kwa kuwa yeye aliomba udhamini katika timu hiyo na si kulipiwa kama anavyodai. Hivi karibuni, Ngassa alinukuliwa akidai kushindwa kuwa katika kiwango kizuri cha...

ALICHO JIBU ELIAS MAGULI BAADA YA KUPIGIWA SIMU NA NYOSSO

  Stori: CHAMPIONI Beki mkongwe wa Mbeya City, Juma Said Nyosso, amekubali kuwa kitendo alichomfanyia mshambuliaji wa Simba, Elias Maguri na kuonyesha na gazeti la Championi si sahihi, si cha kiungwana na anajuta kupita kiasi. Kutokana na maumivu ya moyo anayoyapata kutokana na kushiriki...

ETO'O AANZA MATATIZO NA KOCHA SAMPODORIA

Ikiwa imepita wiki moja tu tangu asajiliwe na klabu ya Italia ya Sampdoria, mshambuliaji wa zamani wa kimataifa wa Cameroon Samuel Eto’o ameripotiwa kuwa kwenye utata wa kutaka kuihama klabu hiyo baada ya kutoelewana na kocha wake. Kilichotokea ni kwamba Eto’o aliingia kwenye matatizo na kocha...

ALICHO SEMA FID Q KUHUSU HUKUMU YA FRANCIS CHEKA

February 2 2015 bondia Mtanzania Francis Cheka alihukumiwa kifungo cha miaka mitatu gerezani pamoja na faini aliyoitaja kuwa milioni moja na laki sita baada ya kupatikana na kosa la kumpiga meneja aliekua amemuajiri kwenye Bar yake Morogoro. Ni hukumu ambayo kila mmoja ameipokea kwa muonekano...

IZO BUSINESS; SIONI UMUHIMU WA KUJIHUSISHA NA SIASA

MSANII wa muziki wa Hip Hop, Emmanuel Simwinga ‘Izo Business’, amesema licha ya kushauriwa na rafiki zake kuingia kwenye siasa, bado hajaona umuhimu wa kufanya hivyo.Akizungumza na MTANZANIA jana, Izo Business alisema hakuna umuhimu wa kuingia kwenye siasa, kwani inatakiwa mtu ajitoe kwa ajili...

AGGREY MORRIS, NYOSSO WANASHUGHULIKIWA TFF MUDA HUU

Aggrey Morris (Kushoto) Na Bertha Lumala Utovu wa nidhamu wa wachezaji George Michael, Aggrey Morris na Juma Nyosso huenda ukawaponza kwa kupewa adhabu kali na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Kwa nini? Muda mfupi uliopita mtandao huu umepata taarifa kwamba Kamati ya Nidhamu ya TFF, inaendelea...

VIDEO YA ALI KIBA YAPOKELEWA NA KITUO KIKUBWA CHA TV

. Video ya hit song ‘Mwana‘ ya Ali Kiba Feb 3 2015 imepitishwa na kuoneshwa kwenye kituo kikubwa cha TV cha Trace TV kilichopo Ufaransa ambacho Wasanii wengi wakubwa wa Afrika wamekua wakionyesha furaha yao pindi video zao zinapogongwa kwenye TV hii ambayo imebarikiwa kuwa na nguvu ya...

MAN UNITED WAPETA FA CUP

KLABU ya Manchester United imetinga Raundi ya Tano ya Kombe la FA baada ya ushindi wa mabao 3-0 Cambridge United Uwanja wa Old Trafford.Timu ya kocha Mholanzi Louis Van Gaal iliyolazimishwa sare katika mchezo wa kwanza na wapinzani wao hao ugenini, jana ilikuwa tofauti katika mchezo wa pili wa ...

MAGAZETI YA MICHEZO LEO FEBRUARY 4

.. .. . ....

SALA KWA MESSI, ISIHAKA WAKACHEZE REAL MADRID

  Endapo watafanikiwa kucheza timu ya vijana ya klabu tajiri duniani, Real Madrid ya Uhispania, basi itakuwa ni habari njema kwa soka la Tanzania, ambayo wachezaji wake kadhaa wamekuwa wakifeli majaribio ya kucheza soka la kulipwa ughaibuni, hasa nchi za Ulaya katika miaka ya nyuma. Kufuatia...

NUSU FAINAL AFCON LEO

  Michuano ya soka ya Kombe la Mataifa ya Afrika, AFCON, inaendelea Jumatano katika hatua ya nusu fainali kwa Ivory Coast kupambana na Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo. Katika michezo yao ya robo fainali, Ivory Coast iliwasambaratisha Algeria, kwa mabao 3-1. Algeria ni timu nambari moja kwa...