Mambo mazuri kwa upande wa Real Madrid sasa ni mapumziko Madrid wanaongoza goli 2-0 dhidi ya Sevila magoli ya James Rodriguez Dakika 13, na goli la Jese Dakika ya 3...
KLABU
ya West Ham imepigwa faini ya Pauni 71,000 na FIFA baada ya kumtumia
Diafra Sakho katika mechi ya Kombe la FA siku 18 tangu ajitoe kikosi cha
Senegal kilichocheza Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika.
Sakho
alifunga bao pekee katika ushindi wa 1-0 Uwanja wa Ashton Gate dhidi ya
...
Kiungo
mpya wa Chelsea, Juan Cuadrado (kushoto) akipokea maelekezo kutoka kwa
kocha Jose Mourinho baada ya kuanza mazoezi na timu yake hiyo mpya leo.
Cuadrado alisaini Mkataba wa miaka minne na nusu Chelsea juzi kutoka
Fiorentina kwa dau la Pauni Milioni 27 na leo amefanya mazoezi kujiandaa...
Na Mahmoud Zubeiry, TANGAYANGA
SC imepanda kileleni mwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kufuatia
ushindi wa bao 1-0 dhidi ya wenyeji Coastal Union, Uwanja wa Mkwakwani,
Tanga.Shujaa wa pointi tatu za Yanga SC leo ni Nahodha
Nadir Haroub Ali ‘Cannavaro’, aliyefunga bao hilo pekee mapema...
Mpira umeisha uwanja wa mkwakwani Tanga, timu ya Yanga imeibuka na ushindi wa goli 1-0 dhidi Coastal Union shukrani kwa Nadir Haroub "Canavaro" ndiye aliye funga katika mchezo hu...
Mrembo na mwigizaji wa filamu, ambae kwa sasa ameamua
kupiga kitabu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ , ambae kwa sasa ameamua kupiga
kitabu , anadaiwa kuwafunika kimasomo wanafunzi wenzake katika Chuo cha
Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kilichopo Magogoni-Posta...
Hatimaye
wakala wa David De Gea - Super Agent Jorge Mendes amesema mchezaji huyo
atabakia Manchester United pamoja na Madrid kuonyesha nia ya kumtaka.
Amesema De Gea amebakiza mkataba wa mwaka mmoja, na ana furaha kuongeza
mkataba mpya na kuendelea kuwepo Old Traffor...
Baada ya msanii ferooz
kuzungumzia ishu yake ya kufungua mgahawa wake wa Hollywood Café msanii
huyo amesema kuwa leo ndio siku ambayo amefungua mgahawa huo ambao
utakuwa unatoa huduma mbali mbali za chakula ambao uko maeneo ya
Darfree Market na kuwataka mashabiki wake wote wakaribie...
Baada ya kufanikiwa kuipa ushindi wa mabao 2-1
klabu yake ya Simba mbele ya JKT Ruvu Jumamosi iliyopita, mshambuliaji wa klabu
hiyo, Mganda, Danny Sserunkuma, ameweka rekodi ndani ya klabu hiyo ya kuwa
mchezaji pekee aliyepachika bao la mapema zaidi katika mechi za ligi kuu msimu
huu.
Sserunkuma...
Beki wa Yanga, Mbuyu Twite, raia wa Congo,
ameomba kufungwa kitanzi mapema na timu yake hiyo kwa kusema kuwa yupo tayari
kuongeza mkataba iwapo uongozi wa timu hiyo utafanya hivyo.
Twite aliyesajiliwa Yanga msimu mmoja
uliopita, anatarajia kumaliza mkataba wake na timu hiyo mwishoni mwa msimu...
Uongozi wa Klabu ya Yanga umefunguka kuwa
hauhusiki na deni la mshambuliaji wao, Mrisho Ngassa anayedaiwa fedha na Benki ya
CRDB kwa kuwa yeye aliomba udhamini katika timu hiyo na si kulipiwa kama
anavyodai.
Hivi karibuni, Ngassa alinukuliwa akidai
kushindwa kuwa katika kiwango kizuri cha...
Stori: CHAMPIONI
Beki mkongwe wa Mbeya City,
Juma Said Nyosso, amekubali kuwa kitendo alichomfanyia mshambuliaji wa Simba, Elias
Maguri na kuonyesha na gazeti la Championi si sahihi, si cha kiungwana na
anajuta kupita kiasi.
Kutokana na maumivu ya moyo
anayoyapata kutokana na kushiriki...
Ikiwa
imepita wiki moja tu tangu asajiliwe na klabu ya Italia ya Sampdoria,
mshambuliaji wa zamani wa kimataifa wa Cameroon Samuel Eto’o ameripotiwa
kuwa kwenye utata wa kutaka kuihama klabu hiyo baada ya kutoelewana na
kocha wake.
Kilichotokea ni kwamba Eto’o aliingia kwenye matatizo na kocha...
February
2 2015 bondia Mtanzania Francis Cheka alihukumiwa kifungo cha miaka
mitatu gerezani pamoja na faini aliyoitaja kuwa milioni moja na laki
sita baada ya kupatikana na kosa la kumpiga meneja aliekua amemuajiri
kwenye Bar yake Morogoro.
Ni hukumu ambayo kila mmoja ameipokea kwa muonekano...
MSANII wa muziki wa Hip Hop, Emmanuel Simwinga ‘Izo Business’,
amesema licha ya kushauriwa na rafiki zake kuingia kwenye siasa, bado
hajaona umuhimu wa kufanya hivyo.Akizungumza na MTANZANIA jana, Izo
Business alisema hakuna umuhimu wa kuingia kwenye siasa, kwani inatakiwa
mtu ajitoe kwa ajili...
Aggrey Morris (Kushoto)
Na Bertha Lumala
Utovu wa nidhamu wa wachezaji George Michael, Aggrey Morris na
Juma Nyosso huenda ukawaponza kwa kupewa adhabu kali na Shirikisho la
Soka Tanzania (TFF). Kwa nini?
Muda mfupi uliopita mtandao huu umepata taarifa kwamba Kamati ya
Nidhamu ya TFF, inaendelea...
.
Video ya hit song ‘Mwana‘ ya Ali Kiba Feb 3 2015 imepitishwa na kuoneshwa kwenye kituo kikubwa cha TV cha Trace TV kilichopo Ufaransa
ambacho Wasanii wengi wakubwa wa Afrika wamekua wakionyesha furaha yao
pindi video zao zinapogongwa kwenye TV hii ambayo imebarikiwa kuwa na
nguvu ya...
KLABU ya Manchester United
imetinga Raundi ya Tano ya Kombe la FA baada ya ushindi wa mabao 3-0
Cambridge United Uwanja wa Old Trafford.Timu ya kocha
Mholanzi Louis Van Gaal iliyolazimishwa sare katika mchezo wa kwanza na
wapinzani wao hao ugenini, jana ilikuwa tofauti katika mchezo wa pili wa
...
Endapo watafanikiwa kucheza timu ya
vijana ya klabu tajiri duniani, Real Madrid ya Uhispania, basi itakuwa
ni habari njema kwa soka la Tanzania, ambayo wachezaji wake kadhaa
wamekuwa wakifeli majaribio ya kucheza soka la kulipwa ughaibuni, hasa
nchi za Ulaya katika miaka ya nyuma.
Kufuatia...
Michuano ya soka ya Kombe la Mataifa
ya Afrika, AFCON, inaendelea Jumatano katika hatua ya nusu fainali kwa
Ivory Coast kupambana na Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.
Katika
michezo yao ya robo fainali, Ivory Coast iliwasambaratisha Algeria, kwa
mabao 3-1. Algeria ni timu nambari moja kwa...