SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Feb 6, 2015

ANGALIA SIMBA WALIVYOPOKELEWA TANGA

SIMBA inaanza mazoezi leo jioni jijini Tanga kujiandaa na mechi ya keshokutwa dhidi ya Coastal Union itakayopigwa uwanja wa CCM Mkwakwani Tanga. Afisa habari wa klabu hiyo, Humphrey Nyasio amezungumza na mtandao huu na kueleza kuwa kikosi kipo salama na wapo tayari kwa mechi hiyo. Nyasio...

KIONGOZI YANGA ALIA NA MAPRO LIGI KUU BARA

Dr. Tibohora (kushoto) akiwa na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga,Jerry Muro Na Richard Bakana, Dar es Salaam KATIBU mkuu wa Mabingwa wa zamani wa ligi kuu ya Soka Tanzania bara, Dar es salaam Young Africans,...

WENGER AMTETEA WILSHERE

Kocha wa klabu ya washika mitutu wa London Arsenal Arsene Wenger ameibuka na kumtetea kiungo mshambuliaji wa klabu hiyo na timu ya Taifa ya Uingereza Jack Wilshere, kuwa kiungo huyo sio mvutaji wa sigara licha ya picha zake kusambaa katika mitandao ya kijamii akiwa ameshika sigara jijini London. Wenger...

KESI YA JAJA KUSIKILIZWA ILALA

Uongozi wa Klabu ya Yanga kupitia kwa Mkurugenzi wa Sheria wa Yanga, Frank Chacha umesema unaendelea kumsubiri mshambuliaji Geilson Santos Santana ‘Jaja’ raia wa Brazil aje nchini kuitikia wito wa kesi waliyomfungulia. Yanga ilimfungulia kesi mchezaji huyo Mahakama ya Kazi Ilala ambapo imepangwa...

KIFARU ATAMBA KUWAFUNGA YANGA JUMAPILI

HIKI NDIYO KIKOSI CHA MTIBWA SUGAR KILICHOIFUNGA YANGA KWA MABAO 2-0. ATAKOSEKANA KESSY AMBAYE AMEJIUNGA NA SIMBA. Msemaji wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru ametamba kwamba wanakuja jijini Dar es Salaam kuendeleza ubabe wao kwa Yanga. Yanga inashuka dimbani Uwanja wa Taifa jijini Dar keshokutwa...

FA KUCHUNGUZA USAJILI WA CALUM CHAMBERS

  Chama cha soka cha England - FA kimesema kinauchunguza uhamisho wa Calum Chambers kutoka Southampton kwenda Arsenal - wakitoa ishara kwamba kuna jambo liloenda kinyume na kanuni lakini wamegoma kusema wazi kwanini wanauchunguza uhamisho huo uliofanyika katika dirisha la usajili la kian...

MANYIKA JUNIOR AFUNGUKA KUHUSU BINTI WA MBUNGE ANAYESABABISHA ASHUKE KIWANGO

NIMAA.. Kipa wa Simba, Peter Manyika Jr ameingia kwenye shutuma nzito zinazosababisha kushuka kwa kiwango chake ambapo inadaiwa kuwa uhusiano wa kimapenzi na mrembo mmoja anayejulikana kwa jina la Nima ndiyo sababu. Manyika Jr amekuwa akionekana sehemu mbalimbali akiwa na mrembo huyo ambaye...

NYOSSO, MORISS WAPEWA ADHABU NA TFF

TFF imeamka sasa baada ya kuamua kumfungia kitasa wa Mbeya City, Juma Said Nyosso. Nyosso atakaa nje kwa mechi nane kwa kosa la kumdhalilisha mshambuliaji wa Simba SC, Elius Maguri timu hizo zilipokutana Januari 28, mwaka huu. Pamoja na Nyosso, beki wa Azam FC, Aggrey Morris naye amefungiwa...

LIVERPOOL KUJAZWA NOTI

Klabu ya Liverpool hii leo imetangaza kuingia mkataba na kmapuni ya kutengeneza vifaa vya michezo ya Marekani ya New Balance mkataba ambao unaweka rekodi ya kuwa mkataba mnono kuliko yote katika historia ya klabu hiyo . Kampuni hii ambayo makao makuu yake yako huko Boston nchini Marekani inachukua...

MAN CITY WAMTEMA JOVETIC

KLABU ya Manchester City imemuengua katika kikosi chake cha Ligi ya Mabingwa Ulaya Stevan Jovetic ili kumuingiza Wilfried Bony. Nyota huyo wa Montenegro, alisajiliwa kutoka Fiorentina kwa ada ya uhamisho ya Pauni Milioni 22 mwaka 2013, sasa anaweza kuwa anajiandaa kuondoka katika klabu hiyo...

GHANA YAFUZU AFCON, UWANJA WAGEUKA VITA

NDOTO za wenyeji Equatorial Guinea kunyakua Kombe la Mataifa ya Afrika zimeyeyuka usiku huu baada ya kufungwa mabao 3-0 na Ghana Uwanja wa Malabo. Black Stars inayofundishwa na kocha wa zamani wa Chelsea, Avram Grant ilipata mabao yake kupitia kwa Jordan Ayew kwa penalti dakika ya 42, Mubarak...

KURASA ZA MWANZO NA MWISHO ZA MAGAZETI YA MICHEZO LEO FEB 6 IJUMAA

. . . . ....