
SIMBA inaanza mazoezi leo jioni
jijini Tanga kujiandaa na mechi ya keshokutwa dhidi ya Coastal Union
itakayopigwa uwanja wa CCM Mkwakwani Tanga.
Afisa habari wa klabu hiyo,
Humphrey Nyasio amezungumza na mtandao huu na kueleza kuwa kikosi kipo
salama na wapo tayari kwa mechi hiyo.
Nyasio...