SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 24, 2016

LIGI YA MBUZI VIJANA CUP YAMALIZIKA HATUA YA MAKUNDI KWA SIDO FC KUIBUKA NA USHINDI

Na Haji balou Ligi ya Mbuzi Vijana cup imeendelea tena hii Leo kwa mchezo mmoja kupigwa katika  uwanja wa shule ya msingi muungano katika kuhitimisha hatua ya makundi kati ya Sido fc dhidi ya Vijuso fc mchezo ambao umemalizika kwa Sido kuibuka Na goli 1-0. Goli pekee la Sido fc lilifungwa Na Haikosi...

YANGA KUPAMBANA NA TP MAZEMBE KOMBE LA SHIRIKISHO

Na Haji balou YANGA SC imepangwa kundi la A katika Kombe la Shirikisho Afrika pamoja na mabingw awa zamani barani, TP Mazembe ya DRC, MO Bejaia ya Algeria na Medeama ya Ghana. Kundi B linaundwa na timu za Kaskazini mwa Afrika tupu ambazo ni Etoile du Sahel ya Tunisia ambao ni  mabingwa watetezi,...