SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Jul 29, 2015

KAZIMOTO ALITAKAA KWENDA MISRI AKAAMUA KURUDI SIMBA

KAZIMOTO AKIWA QATAR... Kiungo Mwinyi Kazimoto amejiunga tena na Simba akitokea Al Markhiya ya Qatar. Mwinyi amerejea Simba baada ya kujiunga na Al Markhiya akitokea Msimbazi.  Ameichezea timu hiyo ya daraja la pilim misimu miwili, lakini ikashindwa kupanda daraja. AKISAINI...