=
Mwenyekiti
wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe amemvulia uvivu meneja wa
kiungo wao, Ramadhani Singano ‘Messi’ kwamba analazimika kuwa makini.
Hans
Poppe amesema meneja huyo anapaswa kuwa makini kutokana na maneno aliyoyatoa
kwamba mkataba wa mchezaji wake ‘umechezewa’.
“Kwa
kweli...