SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 27, 2015

HANS POPPE AMTOLEA UVIVU MENEJA WA MESSI, AMUAMBIA AWE MAKINI SANA

= Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe amemvulia uvivu meneja wa kiungo wao, Ramadhani Singano ‘Messi’ kwamba analazimika kuwa makini. Hans Poppe amesema meneja huyo anapaswa kuwa makini kutokana na maneno aliyoyatoa kwamba mkataba wa mchezaji wake ‘umechezewa’. “Kwa kweli...

HARRY KANE ATOA MSIMAMO JUU YA KUSAJILIWA MAN UITED

Harry Kane:  aliifungia magoli 21 Tottenham  katika msimu wa 2014/2015 wa ligi kuu England. Harry Kane amesisitiza kuwa ataendelea kuichezea  Tottenham baada ya tetesi kuenea kwamba Manchester United wanavutiwa naye. Mchezaji huyo bora kijana wa mwaka wa PFA amekumbana na swali...