SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

HII NDIO DROO KOMBE LA FA

SIMBA CHALII KESSY AONESHWA NYEKUNDU

MANARA APATA AJALI

MKENYA APIGA MBILI LIVERPOO IKIUA 4-1

Jul 4, 2016

SUAREZ MWINGINE ASAINI BARCELONA

Na Haji balou
FC BARCELONA imesibitisha kumsajili kiungo wa timu ya Villarreal Denis Suarez Na kesho anatarajiwa kupimwa afya.

Suarez mwenye umri wa miaka 22 alicheza Barcelona B kabla ya kuondoka kuamia Sevilla Na baadae kujiunga Na Villarreal ambayo aliisaidia mpaka kufika hatua ya nusu fainali Na  sasa amerudi tena  Barcelona.

Denis Suarez hana udugu wowote Na staa wa timu hiyo Luis Suarez ambaye alijiunga Barcelona misimu miwili iliyo pita.

STAA MWINGINE TOTENHAM KUJIUNGA REAL MADRID

Na Haji balou
Klabu ya Real madrid  tayari Kutoa euro million 35 ili kumnasa kipa namba moja wa Totenham Na Timu ya taifa ya Ufaransa  Hugo Lloris.

Kama Hugo Lloris  atajiunga Na Real Madrid atakuwa mchezaji watatu kujiunga Na Real Madrid akitokea Totenham kwa kipindi cha hivi karibuni  wachezaji wengine ni Gareth Bale, Luka Modric Na Emmanuel aliye enda kwa mkopo.