Jul 4, 2016

SUAREZ MWINGINE ASAINI BARCELONA

Na Haji balou
FC BARCELONA imesibitisha kumsajili kiungo wa timu ya Villarreal Denis Suarez Na kesho anatarajiwa kupimwa afya.

Suarez mwenye umri wa miaka 22 alicheza Barcelona B kabla ya kuondoka kuamia Sevilla Na baadae kujiunga Na Villarreal ambayo aliisaidia mpaka kufika hatua ya nusu fainali Na  sasa amerudi tena  Barcelona.

Denis Suarez hana udugu wowote Na staa wa timu hiyo Luis Suarez ambaye alijiunga Barcelona misimu miwili iliyo pita.

0 maoni:

Post a Comment