SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Jun 25, 2016

NYOTA WA UBELGIJI AKARIBIA KUSAINI ARSENAL

Na Haji balou Baada ya kumkosa staa wa Leicester city Jamie vard kocha wa Arsenal Arsene Wenger ameamua kuamishia nguvu zake kwa staa wa Everton na Timu ya taifa Ubelgiji Romelu Lukaku. Mwandishi wa habari za michezo nchini Italy ameripoti kuwa Lukaku amekubali dili la kusaini Arsenal dili hili limekuja...

LIVERPOOL YAKARIBIA KUMSAJILI STAA HUYU HAPA

Na Haji balou Timu ya Liverpool ipo tayari kutoa Euro million 30 kwa Timu ya Southampton kwaajili ya kuinasa saini ya Mshambuliaji wa Timu hiyo Sadio Mane Raia wa Senegal. Kocha wa Liverpool Juggen kloop amekuwa akimfuatilia kwa karibu Mshambuliaji huyo tangu alipo wafunga goli mbili katika mchezo...