SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 5, 2015

PAPIS CISSE, JONNY EVANS KAMA 'MCHANGANI' WATEMEANA MATE....

Beki Jonny Evans wa Man United na mshambuliaji wa Newcastle, Papiss Cisse wameonyesha utoto utafikiri wachezaji wachanga wa mchangani tena Bongo. Wachezaji hao wawili wamefikia hatua ya kutemeana mate wakati wa mechi ya Ligi Kuu England timu zao zilipokutana na Man United kushinda kwa bao...

BILIONI 56 ZATUMIKA KUJENGA STUDIO ZA AZAM TV, RAIS JK KUZIZINDUA KESHO

Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMJUMLA dola za Kimarekani Milioni 31 (zaidi ya Sh. Bilioni 56 za Tanzania) zimetumika kutengeneza studio mpya za kisasa za Azam TV, zilizopo eneo la Tabata Relini, Dar es Salaam.Hayo yamesemwa na Naibu Mtendaji Mkuu wa Azam Media Limited, Tido Mhando...

FIFA; TUNASHUGHULIKIA SUALA LA OKWI

Na Sanula Athanas FIFA imesema inaushughulikia utata uliojitokeza kuhusu usajili wa kiungo mshambuliaji wa Simba, Mganda Emmanuel Okwi katika klabu za Tanzania na Tunisia. Katika taarifa yake kwa NIPASHE jana saa 8:04 alasiri, Ofisa Habari wa FIFA, Cilla Duncan, alisema tayari shirikisho hilo...

UFAFANUZI KUHUSU SUALA LA "AJIBU" HUU HAPA

Na Baraka Mbolembole, Nani anayejitoa kusaidia kwa dhati mpira wa Tanzania?. TFF hakuna ‘ watendaji’, katika klabu kubwa ‘ wameshikili ‘ Mafionso’, na Chombo kilichopiganiwa sana ‘ Bodi ya Ligi’ kumejaa watu ‘ wababaishaji’ wasio na ufahamu wa kandanda. Wakati ‘ Hoja ya msingi’ inapojitokeza,...

MANYIKA JUNIOR YUKO FITI KUIVAA YANGA JUMAPILI

MANYIKA KATIKA MAZOEZI YA SIMBA MJINI ZANZIBAR, JANA JIONI. Kipa Peter Manyika yuko fiti yuko fiti na hivyo Kocha Goran Kopunovic atakuwa na kazi ya kuchagua, nani aanze Jumapili. Jumapili ni siku inayosubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa soka nchini kwa kuwa watani wa jadi, Simba...

YANGA SC KUMKOSA COUTINHO DHIDI YA SIMBA JUMAPILI

Na Prince Akbar, DAR ES SALAAMYANGA SC itaendelea kumkosa wake Mbrazil, Andrey Coutinho katika mchezo dhidi ya mahasimu wa jadi, Simba SC Jumapili Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.Yanga SC ilifikiria kumpeleka India Mbrazil huyo kwa matibabu zaidi, lakini baada ya vipimo katika hospitali...

MAXIMO APATA TIMU BRAZIL

ALIYEKUWA kocha wa Yanga SC, Mbrazil Marcio Maximo (pichani juu) amefanikiwa kupata ajira mpya nchini kwao Brazil.Maximo aliyetemwa na Yanga Desemba 19 mwaka jana akidumu kwa miezi sita, amefanikiwa kupata kibarua kipya kwa kuinoa timui ya Parana ambayo inafanya vibaya katia ligi ya jimbo moja...