SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Apr 13, 2015

YANGA YACHEMSHA KUIPIKU AZAM

Na Bertha Lumala, Dar es Salaam “Azam ilitwaa ubingwa wa Bara msimu uliopita ikikusanya pointi 62 huku ikimaliza msimu bila kupoteza mechi hata moja.’ WAMECHEMSHA! Ndivyo unavyoweza kusema kutokana na ukweli kwamba Yanga SC licha ya kuwa na moto mkali msimu huu, haitaweza kuzifikia pointi ambazo...

MAN UNITED WALA ZA USO KWA CAVANI, BILIONEA WA KIARABU AWAAMBIA; "HATUMUUZI NG;O"

DILI la Manchester United kumnasa Edinson Cavani kama linaelekea kubuma, baada ya leo asubuhi klabu yake, Paris Saint-Germain kukanusha kwamba wana mpango wa kumuuza mshambuliaji huyo. United imekuwa ikimfukuzia nyota huyo wa Uruguay katika jitihada za kuiongezea makali ya safu yake...

TAMBWE AWAAMBIA MBEYA CITY; “BAHATI YAO”

Na Prince Akbar, DAR ES SALAAMMSHAMBULIAJI wa Yanga SC, Amissi Tambwe amesema kwamba haikuwa bahati yake jana kushangilia bao dhidi ya Mbeya City Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.Yanga SC iliifunga Mbeya City mabao 3-1 Uwanja wa Taifa katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, lakini...

MSUVA SASA AMTAMBIA KAVUMBAGU, AMUAMBIA KIATU CHA DHAHABU MALI YAKE

Baada ya kumzidi kwa idadi ya mabao matatu, kiungo mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva, amemwambia mshambuliaji wa kutegemewa wa Azam FC, Didier Kavumbagu asahau ufungaji bora kwenye msimu huu wa Ligi Kuu Bara. Msuva jana aliiongoza timu yake kuvaana na Mbeya City katika mchezo wa Ligi...