SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 17, 2015

HUKUMU MPYA YA BONDIA FRANCIS CHEKA

Unakumbuka ile skendo iliyompata bondia wa ngumi nchini Francis Cheka baada ya kumpiga na kumuumiza meneja wa baa yake akimtuhumu kusababisha hasara? Taarifa iliyotolewa na kocha wake Abdalah Komando na kuthibitishwa na wanafamilia yake inasema Bondia huyo nyota zaidi nchini sasa ameachiwa huru...

TWIGA STARS KUWAFUATA ZAMBIA IJUMAA

Na Baraka Kizuguto, DAR ES SALAAMMSAFARA wa watu 25 wa timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake (Twiga Stars), unatarajiwa kuondoka nchini siku ya ijumaa kuelekea nchini Zambia kwa ajili ya mchezo wake wa kwanza dhidi ya timu ya Taifa ya Wanawake ya Zambia siku ya jumapili.Twiga Stars...

HAYA NDIO MAPATO YANGA VS PLATINUM

Na Baraka Kizuguto, DAR ES SALAAMMECHI ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika kati ya wenyeji, Yanga SC dhidi ya timu ya FC Platinum ya Zimbambwe iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam iliingiza mil 91,660,000 kutokana na watazamaji 14,563 waliokata...

PLUIJM ASEMA SUALA LA DHARAU HALITAKUWEPO WAKITUA ZIMBABWE

Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm amesema pamoja na ushindi wa mabao 5-1, kamwe hawatatanguliza dharau watakapokuwa ugenini dhidi ya FC Platinum ya Zimbabwe. Pluijm raia wa Uholanzi amesema timu nyingi dunia zimewahi kuanguka licha ya kuwa zilitangulia kupata ushindi mnono kwa sababu...

ETOILE DU SAHEL WABISHA HODI YANGA SC, ILA KUNA WAANGOLA HATARI NAO!

Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAMETOILE du Sahel ya Tunisia imejiweka katika mazingira magumu ya kwenda 16 Bora ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika baada ya jana kushinda 1-0 nyumbani dhidi ya S.L. Benfica ya Angola.Ikumbukwe mshindi wa jumla baina ya timu hizo mbili, ndiye anaweza...

COASTAL UNION WAIKAMIA AZAM FC

Na Mwandishi Wetu, TANGATIMU ya Coastal Union imewasilia jijini Tanga ikiwa na mikakati mizito ya kuhakikisha inawanyamazisha wapinzani wao Azam FC ikiwa ni muendelezo wa Michuano ya Ligi kuu soka Tanzania bara mchezo unaotarajiwa kucheza kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani wikiendi...

SHERMAN AWAAMBIA YANGA WAMPE MUDA, WATAFURAHI NA ROHO ZAO

Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMMSHAMBULIAJI Mliberia wa Yanga SC, Kpah Sean Sherman amewaomba mashabiki wa timu hiyo kumsapoti na kumpa muda, akiamini siku moja ataanza kuwafurahisha.Akizungumza na BIN ZUBEIRY jana mjini Dar es Salaam, Sherman alisema kwamba anafahamu kiu ya mashabiki...