
Unakumbuka ile skendo iliyompata bondia wa ngumi nchini Francis Cheka baada ya kumpiga na kumuumiza meneja wa baa yake akimtuhumu kusababisha hasara?
Taarifa iliyotolewa na kocha wake Abdalah Komando
na kuthibitishwa na wanafamilia yake inasema Bondia huyo nyota zaidi
nchini sasa ameachiwa huru...