SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Feb 26, 2015

AZAM TV ‘KURUSHA LIVE’ MECHI YANGA NA BDF BOTSWANA KESHO

Rhys Torrington (kulia) akiwa na Mkurugenzi wa Azam Media Group Limited, Yussuf Bakhresa (kushoto) TELEVISHENI ya kisasa ya kulipia kwa gharama nafuu, Azam TV itaonyesha moja kwa moja mchezo wa marudiano wa Raundi ya Awali Kombe la...

CANNAVARO AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIEZI 10 JELA

NAHODHA wa kikosi cha Italia kilichobeba Kombe la Dunia mwaka 2006 nchini Ujerumani, Fabio Cannavaro amehukumiwa kifungo cha miezi 10 jela kwa kukiuka amri ya kutofika katika nyumba yake iliyozuiliwa na Mamlaka. Cannavaro mwenye umri wa miaka 41, amekuwa akichunguzwa kwa tuhuma za...

JULIO AANZA MANENO COASTAL UNION

Na Oscar Assenga, TANGAKOCHA Msaidizi wa Coastal Union, Jamhuri Kiwelu “Julio”amesema kuwa timu hiyo itapata matokeo mazuri katika mechi zake zilizosalia katika michuano ya Michuano ya Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara kutokana na ubora wa kikosi hichoJulio alitoa wito huo jana wakati...

HIKI NDIO KIKOSI BORA LIGI YA MABINGWA WIKI HII

...

TAIFA STARS YAPANGWA KUNDI A COSAFA, IKO NA ZIMBABWE, NAMIBIA

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imepangwa Kundi A katika michuano  ya kombe la COSAFA nchini Afrika Kusini. Kundi A: Tanzania, Namibia, Lesotho na Zimbabwe. Kundi B: Shelisheli, Madagascar, Mauritius na Swaziland. Michuano ya kombe la Cosafa inatarajiwa kuanza kutimua...

SIMON SSERUNKUMA AREJEA KWAO UGANDA

Kiungo Simon Sserunkuma amerejea kwao Uganda kutokana na mafanikio ya kifamilia. Taarifa kutoka ndani ya Simba zimeeleza Sserunkuma amerudi Uganda kwa ajili ya shughuli ya arobaini ya mmoja wa wazazi wake. Sserunkuma ameondoka wakati Simba ikijianda akupambana na Prisons, keshokutwa. Kocha...

WAKENYA KUISHANGILIA YANGA BOTSWANA

Mashabiki wa soka wakiwemo Watanzania na raia wa Kenya na Uganda wameungana kuishangilia Yanga ambayo iko jijini hapa kuivaa BDF XI ya Botswana. Yanga inaovaa BDF XI katika mechi ya Kombe la Shirikisho itakayopigwa leo saa 1:30 kwa saa za hapa na saa 2:30 kwa saa za Afrika Mashariki. Katika...

ALICHOSEMA KOCHA YANGA KUELEKEA MECHI YA KESHO BOTSWANA

Na Bertha Lumala Kocha mkuu wa Yanga SC, Hans van der Pluijm amewataka wachezaji wake kuhakikisha wanatikisa nyavu za wapinzani wao BDF XI FC katika mechi yao ya kesho ya michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika. Yanga SC, mabingwa mara 24 wa Tanzania Bara, watakuwa na kibarua kigumu mbele...

BAADA YA KIPIGO, OZIL AISUSA JEZI YAKE KWA MCHEZAJI WA MONACO

WAKATI KIUNGO BERNADO WA AS MONACO ALIMFUATA MESUT OZIL WA ARSENAL WABADILISHANE JEZI BAADA YA MECHI YA LIGI YA MABINGWA ULAYA KWENYE UWANJA WA EMIRATES, LONDON. ALIJIKUTA AKISUSIWA JEZI HIYO NA OZIL WALA HAKUTANA KUCHUKUA YA BENADO, HALFU HUYOOO AKAONDOKA ZAKE. ARSENAL ILILALA KWA MABAO...

ATLETICO MADRID YALALA BAO 1-0 DHIDI YA WAJERUMANI

. FERNANDO TORRES (KULIA) AKIKIMBIA KUMLALAMIKIA MWAMUZI BAADA YA KIKOSI CHAKE KUFUNGA BAO LILILOKATALIWA. ATLTETICO MADRID IKIWA UGENINI IMELALA KWA BAO 1-0 DHIDI YA WENYEJI WAKE BAYER LEVERKUSEN. ...

ZIPO HAPA KURASA ZA MWANZO NA ZA MWISHO ZA MAGAZETI YA MICHEZO LEO FEB 26

. . . . . . . ....