Rhys Torrington (kulia) akiwa na Mkurugenzi wa Azam Media Group Limited, Yussuf Bakhresa (kushoto)
TELEVISHENI
ya kisasa ya kulipia kwa gharama nafuu, Azam TV itaonyesha moja kwa
moja mchezo wa marudiano wa Raundi ya Awali Kombe la...
NAHODHA
wa kikosi cha Italia kilichobeba Kombe la Dunia mwaka 2006 nchini
Ujerumani, Fabio Cannavaro amehukumiwa kifungo cha miezi 10 jela kwa
kukiuka amri ya kutofika katika nyumba yake iliyozuiliwa na Mamlaka.
Cannavaro
mwenye umri wa miaka 41, amekuwa akichunguzwa kwa tuhuma za...
Na Oscar Assenga, TANGAKOCHA
Msaidizi wa Coastal Union, Jamhuri Kiwelu “Julio”amesema kuwa timu hiyo
itapata matokeo mazuri katika mechi zake zilizosalia katika michuano ya
Michuano ya Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara kutokana na ubora wa
kikosi hichoJulio alitoa wito huo jana wakati...
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imepangwa Kundi A katika michuano ya kombe la COSAFA nchini Afrika Kusini.
Kundi A:
Tanzania, Namibia, Lesotho na Zimbabwe.
Kundi B:
Shelisheli, Madagascar, Mauritius na Swaziland.
Michuano ya kombe la Cosafa inatarajiwa kuanza kutimua...
Kiungo Simon Sserunkuma amerejea kwao Uganda kutokana na mafanikio ya kifamilia.
Taarifa kutoka ndani ya Simba zimeeleza Sserunkuma amerudi Uganda kwa ajili ya shughuli ya arobaini ya mmoja wa wazazi wake.
Sserunkuma ameondoka wakati Simba ikijianda akupambana na Prisons, keshokutwa.
Kocha...
Mashabiki wa soka wakiwemo Watanzania na raia wa Kenya na
Uganda wameungana kuishangilia Yanga ambayo iko jijini hapa
kuivaa BDF XI ya Botswana.
Yanga inaovaa BDF XI katika mechi ya Kombe
la Shirikisho itakayopigwa leo saa 1:30 kwa saa za hapa na saa 2:30 kwa saa za
Afrika Mashariki.
Katika...
Na Bertha Lumala
Kocha mkuu wa Yanga SC, Hans van der Pluijm amewataka wachezaji
wake kuhakikisha wanatikisa nyavu za wapinzani wao BDF XI FC katika
mechi yao ya kesho ya michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika.
Yanga SC, mabingwa mara 24 wa Tanzania Bara, watakuwa na
kibarua kigumu mbele...
WAKATI KIUNGO
BERNADO WA AS MONACO ALIMFUATA MESUT OZIL WA ARSENAL WABADILISHANE JEZI
BAADA YA MECHI YA LIGI YA MABINGWA ULAYA KWENYE UWANJA WA EMIRATES,
LONDON. ALIJIKUTA AKISUSIWA JEZI HIYO NA OZIL WALA HAKUTANA KUCHUKUA YA
BENADO, HALFU HUYOOO AKAONDOKA ZAKE. ARSENAL ILILALA KWA MABAO...
.
FERNANDO TORRES
(KULIA) AKIKIMBIA KUMLALAMIKIA MWAMUZI BAADA YA KIKOSI CHAKE KUFUNGA BAO
LILILOKATALIWA. ATLTETICO MADRID IKIWA UGENINI IMELALA KWA BAO 1-0
DHIDI YA WENYEJI WAKE BAYER LEVERKUSEN.
...