SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Feb 16, 2015

MSIMAMO LIGI KUU BARA HUU HAPA

Pos                 Team                   Pld     W     T     L     Goals    Diff        Pts1     •     Logo     Azam          ...

WALICHO SEMA YANGA BAADA YA KUFIKA MBEYA

Na Bertha Lumala, Dar es SalaamBaada ya kuwachapa ‘Makhrikhri’ BDF XI FC ya Botswana, kikosi cha Yanga SC tayari kimo jijini Mbeya kusaka pointi sita za Ligi Kuu Tanzania Bara kabla ya kuwafuata maafande wa BDF XI FC mjini Gaborone, Botswana. Wakiwa jijini Mbeya jioni hiui, Yanga SC wametamba kuchukua...

DOKII AIBWAGA YANGA SC, ATUA AZAM FC

Msanii nyota Tanzania, Ummy Wenceslaus maarufu kwa jina la Dokii (kushoto) jana alikuwa miongoni mwa Watanzania waliojitokeza Uwanja wa Azam Complex kuishangilia Azam FC ikimenyana na El Merreikh ya Sudan katika mchezo wa kwanza Raundi ya Awali Ligi ya Mabingwa Afrika. Azam ilishinda 2-0. Lakini...

PICHA MATUNGULI YALIYOBEBWA NA MASHABIKI YA SIMBA JANA MOROGORO

  KIKUNDI Maarufu cha wanachama walioasi wa klabu ya Simba, Simba Ukawa, jana kilikuja na matunguli katika uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro, Mnyama akishinda mabao 2-0 na hali hiyo ilisababisha Simba wenyewe kwa wenyewe wapigane wakipinga imani hizo za kishirikiana. Matunguli hayo yaliyokuwa...

SHUTI LA BAHANUZI ‘LAMPOFUA’ JICHO IVO MAPUNDA

Said Bahanuzi alimbabua shuti Ivo jana Na Mwandishi Wetu, MOROGOROKIPA wa Simba SC, Ivo Mapunda sasa jicho lake halioni kabisa kwa sasa baada ya jana kupigwa na shuti la la mshambuliaji wa Yanga SC, Said Bahanuzi, Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.Bahanuzi alikuwa akiichezea Polisi Moro alipotolewa...

MESSI APIGA HAT TRICK YA TANO MSIMU HUU

BARCELONA imeshinda mechi ya 11 mfululizo, baada ya kuilaza Levante mabao 5-0  katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Lionel Messi amefunga hat trick yake ya tano katika msimu huu wa La Liga kwa mabao yake ya dakika za 38, 59 na 65 kwa penalti, wakati mabao mengine yamefungwa...

MAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMATATU

...