
Na Bertha Lumala, Dar es SalaamBaada ya kuwachapa ‘Makhrikhri’ BDF XI FC ya Botswana, kikosi cha Yanga SC tayari kimo jijini Mbeya kusaka pointi sita za Ligi Kuu Tanzania Bara kabla ya kuwafuata maafande wa BDF XI FC mjini Gaborone, Botswana.
Wakiwa jijini Mbeya jioni hiui, Yanga SC wametamba kuchukua...