SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Apr 17, 2016

SIMBA CHALI KESSY AONESHWA NYEKUNDU

Na Haji balou Leo April 17 uwanja wa Taifa Dar es Salaam Simba wamekubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Toto Africans na kuendeleza rekodi yao ya kusumbuliwa na Toto kila mara wanapokutana. Simba kabla ...

MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA

Baada ya Jana Yanga kuibuka Na ushindi wa 1-0 dhidi ya Mtibwa sugar huu ndio msimamo wa ligi kuu ya Vpl. ...

PLUIJIM ATOA LAWAMA KWA WAANDISHI WA HABARI

  Na Haji balou Kocha mkuu wa Yanga amelalamika juu ya waandishi ambao wamekuwa wakiandika vitu ambavyo yeye hajazungumza kwasababu vinamletea matatizo na waajiri wake. Hans amesema hivyo baada ya gazeti moja kutoa habari ambayo inasababisha mazingira magumu, anasema yeye ni mwajiriwa hivyo anatarati...

SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1UGENINI

Na Haji balou NYOTA ya Nahodha wa Tanzania, Mbwana Samatta imeendelea kung’ara Ulaya baada ya leo kuifungia tena klabu yake, KRC Genk katika ushindi wa 2-1 ugenini dhidi ya wenyeji SV Zulte-Waregem. Katika mchezo huo wa Ligi Kuu ya Ubelgiji uliofanyika Uwanja wa Regenboogstadion mjini Waregem, Samatta...