Na Haji balou
Leo April 17 uwanja wa Taifa
Dar es Salaam Simba wamekubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Toto Africans na kuendeleza rekodi yao ya kusumbuliwa na Toto kila mara
wanapokutana.
Simba kabla ...
Na Haji balou
Kocha mkuu wa Yanga amelalamika juu ya waandishi ambao wamekuwa wakiandika vitu ambavyo yeye hajazungumza kwasababu
vinamletea matatizo na waajiri wake.
Hans amesema hivyo baada ya gazeti moja kutoa habari ambayo inasababisha mazingira magumu, anasema yeye ni mwajiriwa hivyo
anatarati...
Na Haji balou
NYOTA ya Nahodha wa Tanzania,
Mbwana Samatta imeendelea
kung’ara Ulaya baada ya leo kuifungia tena klabu yake, KRC Genk katika ushindi wa 2-1 ugenini dhidi ya wenyeji SV Zulte-Waregem.
Katika mchezo huo wa Ligi Kuu ya
Ubelgiji uliofanyika Uwanja wa
Regenboogstadion mjini Waregem,
Samatta...