
Staa wa muziki wa Bongo fleva Nasib 'Abdul Diamond'.
SIKU
chache baada ya Rais Jakaya Kikwete kufanyiwa pasuaji wa tezi dume
(prostrate), mastaa mbalimbali wameguswa na kuunganisha nguvu ya pamoja
kumfanyia maombi mazito kiongozi huyo wa nchi ili aweze kupona
haraka.Rais Kikwete alifanyiwa...