SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Nov 12, 2014

WASANII WA TANZANIA WAMUOMBEA RAIS JAKAYA KIKWETE.

Staa wa muziki wa Bongo fleva Nasib 'Abdul Diamond'. SIKU chache baada ya Rais Jakaya Kikwete kufanyiwa pasuaji wa tezi dume (prostrate), mastaa mbalimbali wameguswa na kuunganisha nguvu ya pamoja kumfanyia maombi mazito kiongozi huyo wa nchi ili aweze kupona haraka.Rais Kikwete alifanyiwa...

CAF yahaha kutafuta mbadala wa Morocco.

Shirikisho la kanda kanda barani Africa CAF linaendelea kuchambua ni nchi gani itakayookoa jahazi ya kuwa mwenyeji wa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2015 baada ya kuthibitisha Morocco kuondolewa rasmi kuandaa fainali hizo. Nchi ya Morocco imeondolewa kutokana na kukataa...

Lewis Hamilton atang'ara Abu Dhabi

                             Lewis Hamilton Nguli wa zamani wa dunia wa mbio za magari Nigel Mansell amesema Lui Hamilton ...

MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI

. . . ....

MRISHO NGASSA AJITOA TAIFA STARS, KISA…

Na Prince Akbar, DAR ES SALAAM MSHAMBULIAJI Mrisho Khalfan Ngassa hajasafiri na kikosi cha timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kilichoondoka alfajiri ya leo kwenda Afrika Kusini kuweka kambi ya siku mbili kabla ya kwenda Swaziland Novemba 13, mwaka huu. Ngassa aliomba ruhusa...

VAN PERSIE KUIKOSA MECHI YA UHOLANZI NA MEXICO LEO

MSHAMBULIAJI wa Manchester United, Robin van Persie ataikosa mechi ya kirafiki ya kimataifa baina ya nchi yake, Uholanzi dhidi ya Mexico Jumatano ya leo baada ya kocha Guus Hiddink kuthibitisha hayuko fiti kiasi cha kutosha. Van Persie akiwa Nahodha wa Uholanzi, aliiongoza hadi nafasi ya tatu...

HUU NI WAKATI WA RONALDO, ANGALIA ANAVYOZIDI KUTESA

Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo amezidi kung’ara.Cheki alivyopokea tuzo yake ya mfungaji bora wa La Liga msimu uliopita maarufu kama Pichichi. Halafu akapokea tuzo nyingine ya mchezaji bora wa La Liga maarufu kwa jina la Di Stefano. Kweli hiki ni kipindi chake. WASHINDI: TUZO...