Mchezo
wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kati ya Azam FC dhidi ya Mgambo
Shooting uliokuwa ufanyike kesho Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga sasa
nao umesogezwa hadi Jumamos...
Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAMSHIRIKISHO
la Soka Tanzania (TFF) limeipatia tahfifu Yanga SC baada ya kuifutia
mchezo wake wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara uliokuwa uchezwe kesho
dhidi ya JKT Ruvu ili kuipa wasaa mzuri wa kujiandaa na Kombe la
Shirikisho Afrika.Yanga SC watakuwa...