SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Feb 2, 2016

CHANONGO UBWA MAMBO SAFI TP MAZEMBE

Na Haji BalouKLABU ya TP Mazembe ya DRC imeingia katika mazungumzo ya kuwanunua wachezaji wawili wa Stand United, beki Abuu Ubwa na kiungo Haroun Chanongo baada ya kufanya vizuri katika majaribio yao mapema Januari. Wawili hao walisafiri hadi Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), mapema...