SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 11, 2015

MO COLA KUMWAGA MAMILIONI SIMBA

Simba iko katika hatua za mwisho kumaliza dili la kuingia mkataba wa udhamini na Kampuni ya Mohammed Enterprises. Taarifa zinasema kampuni hiyo kupitia kinywaji chake cha Mo Cola huenda ikatoa hadi Sh milioni 500 kwa Simba. Hata hivyo haijajulikana kiasi hicho kitakuwa kwa ajili ya...

FALCAO ASHUSHIWA TIMU B, NAKO ACHEMSHA VILE VILE NA ‘KUPIGWA MKEKA‘

MSHAMBULIAJI Radamel Falcao anayesuasua tangu asajiliwe kwa mkopo Manchester United, ameteremshwa kikosi cha pili, kinachojumuisha vijana wa umri wa miaka 21. Falcao jana alianzishwa katika U21 ya Manchester United iliyolazimishwa sare ya 1-1 na Tottenham Hotspur Uwanja wa Old...

CANNAVARO ASHONWA NYUZI SABA

CANNAVARO BAADA YA KUSHONWA NYUZI SABA, AKIWA NA BAADHI YA WAUGUZI WALIOMHUDUMIA... Beki ngangari wa kati wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, amejiondoa kwenye kikosi hicho kitakachoivaa Platinum ya Zimbabwe. Timu hiyo, inatarajiwa kuvaana na Platinum katika mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika...

KALUSHA BWALYA APINGANA NA LUIS FIGO KUWANIA URAIS FIGO

FIGO... Mwanasoka nguli wa Zambia, Kalusha Bwalya, amesema anaamini kuwa ni mapema sana kwa  Luis Figo kupambana na rais wa sasa wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter. Figo, 42, ambaye aliwahi kuwa mchezaji bora wa duniani ni mmoja kati ya wagombea watatu wanaotaka kuwania...

HIZI NDIO COLLABO ZINAZO SUBILIWA KWA HAMU TZ

https://www.facebook.com/DJMWANGA?ref=ts&fref=tsWasanii wengi wa muziki wameonesha kutaka kuutumia vyema mwaka huu kwa kuachia project zao mpya za kimuziki huku wengi walikuwa kimya kwa muda mrefu na wengine tulikuwa bado tunaziskiza kazi zao!! Kati ya hizo hizi ni mbili ambazo bado hazijatoka...

RONALDO AWAPIKU MESSI, RAUL KUFUNGA MABAO MENGI ULAYA, REAL IKITINGA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA

REAL Madrid imeitoa Schalke 04 katika Ligi ya Mabingwa Ulaya, licha ya kufungwa mabao 4-3 nyumbani, Uwanja wa Bernabeu. Real inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa mabao 5-4, baada ya awali kushinda ugenini, Ujerumani mabao 2-0. Mwanasoka Bora wa dunia, Cristiano Ronaldo jana alimpiku Lionel Messi...

PICHA: HUYU NDIYE MWIGIZAJI ALIYE JICHORA TATOO YA MESSI

Mwigizaji Nataliya Kozhenova kutoka nchini Ukrain ameonyesha mapenzi yake waziwazi baada ya kuchora tatoo yenye sura ya mchezaji wa timu Barcelona nchini Hispania Leonel Messi ...

BEKI KATILI ARUDI NA MKOSI, ALAMBWA KADI NYEKUNDU MOROGORO

Beki George Michael maarufu kama “Beki katili” amerejea na mkosi baada ya ukumbana na kadi nyekundu. Michael amechapwa kadi nyekundu wakati timu yake ya Ruvu Shooting ikiwa inapambana na Polisi Moro kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro na mechi ikaisha kwa sare ya 0-0. Michael alikutana...

VAN GAAL ‘AMPA MAKAVU’ DI MARIA, ASEMA ALIIPONZA TIMU KUFUNGWA NA ARSENAL

KOCHA wa klabu ya Manchester United, Louis Van Gaal amemponda winga wake Angel Di Maria kwa kosa la kupata kadi nyekundu katika mchezo wa jana wa robo fainali kombe la FA dhidi ya washika bunduki Arsenal uliopigwa katika dimba la Old Trafford.Winga huyo aliyevunja rekodi ya usajili...

MADRID YAFUZU ROBO FAINALI KIMTINDO, YACHAPWA BAO 4-3 NA SCHALKE NYUMBANI

Real Madrid wamefuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya lakini "kimkanda mkanda" baada ya kuchapwa mabao 4-3 na wageni wake Schalke 04. Madrid imefungwa nyumbani baada ya ushindi wa mabao 2-0 ugenini nchini Ujerumani hivyo kufanya ifuzu kwa jumla ya mabao 5-4. Mashabiki ...

SABABU KWA NINI DANNY MRWANDA HAJAINGIA KAMBINI YANGA SC BAADA YA KIPIGO CHA SIMBA JUMAPILI

Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMMSHAMBULIAJI Danny Mrwanda hajaingia kambini kwa maandalizi ya mchezo dhidi ya Platinum ya Zimbabwe, kwa sababu hatacheza siku hiyo, akiwa anatumikia adhabu yake ya kadi nyekundu, Yanga SC imesema.Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga SC,...