SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 2, 2015

ALI KIBA AITABIRIA NGOMA YAKE MPYA

Hit Maker wa Mwana ALI KIBA amesema kuwa ngoma yake Chekecha-Cheketua Itakuwa kali kuliko Mwana ambayo imefanya na Bado inafanya poa sana Afrika Mashariki. Akipiga Stori na Kipindi cha DUNDO cha Mambo Jambo Radio Ali Kiba amepata kuyafunguka Hayo wakati...

AVEVA; SINA UGOMVI NA KABURU

Rais wa Simba, Evans Aveva Na Bertha Lumala, Dar es Salaam  Rais wa Simba SC, Evans Aveva amesema kuwa ana maelewano mazuri na Makamu wa Rais wa klabu hiyo, Geoffrey Nyange ‘Kaburu’ na kwamba hana ugomvi wowote na kiongozi huyo wa wanamsimbazi. Akizungumza katika mkutano mkuu wa wanachama...

ZIPO HAPA KURASA ZA MWANZO ZA MAGAZETI YA MICHEZO LEO MACHI 2

. . . . . . . ....

YANGA SC KUKUTANA NA WAZIMBABWE KOMBE LA SHIRIKISHO

Na Vincent Malouda, ZVISHVAANEVIGOGO wa ligi ya Tanzania bara, Yanga SC, watamenyana na klabu ya FC Platinum ya Zimbabwe katika raundi ya kwanza ya kombe la Shirikisho Afrika baada ya timu hiyo kuifumua Sofapaka FC ya Kenya na kusonga mbele kwa jumla ya magoli 4 – 2.FC Platinum iliilaza...

LIVERPOOL YAITANDIKA 2-1 MAN CIY ANFIELD

LIVERPOOL imeichapa mabao 2-1 Manchester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Anfield jioni ya leo. Jordan Henderson aliifungia bao la kwanza Liverpool dakika ya 11 kwa shuti la umbali wa mita 20 baada ya kazi nzuri ya Steven Gerrard. Edin Dzeko akafanikiwa...

ARSENAL WAZINDUKA, WAICHAPA EVERTON 2-0

ARSENAL imezinduka kutoka kwenye kipigo cha Monaco Ligi ya Mabingwa, baada ya leo kuifunga mabao 2-0 Everton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Olivier Giroud alianza kufunga dakika ya 39 akimalizia pasi ya Mesut Ozil, kabla ya Tomas Rosicky kufunga la pili dakika ya 89. Kocha...

SIMBA SC WAENDA ZENJI KUIANDALIA DOZI YANGA SC

Na Princess Asia, DAR ES SALAAMKIKOSI cha Simba SC kimeondoka jana Dar es Salaam kwenda Zanzibar kuweka kambi ya kujiandaa na mchezo dhidi ya mahasimu wao wa jadi, Yanga SC Jumapili.Simba SC ambayo juzi iliihadharisha Yanga SC baada ya kuitandika Prisons mabao 5-0 Uwanja wa Taifa,...

CHELSEA NA MWALI WA CAPITAL ONE HAWA HAPA, MOURINHO AMWAGA CHOZI

WACHEZAJI NA KOCHA WA CHELSEA, JOSE MOURINHO WAKISHANGILIA BAADA YA KUTWAA UBINGWA WA CAPITAL ONE KWA KUITWANGA SPURS BAO 2-0. MOURINHO ALISHINDWA KUJIZUIA, AKAMWAGA CHOZI. ...