SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

HII NDIO DROO KOMBE LA FA

SIMBA CHALII KESSY AONESHWA NYEKUNDU

MANARA APATA AJALI

MKENYA APIGA MBILI LIVERPOO IKIUA 4-1

May 29, 2016

BODABODA FC YATINGA NUSU FAINAL

Na Haji balou
Leo mei 29 kulikuwa na mchezo wa robo fainali mchezo ulipigwa ktk uwanja wa Shule ya msingi  muungano kati ya timu  Likongowele fc vs Bodaboda fc.

Mpaka mchezo unamalizika
Likongowele fc o-2 Bodaboda Magoli yote ya Boda Boda fc  yalifungwa na faraja katika dk 25 na dk 80

Mecho wa jana kati Vijuso fc vs kombaini fc  utarudiwa kesho jioni ndani ya dk 7 ikitokea sare zitapigwa penaiti.