SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 9, 2015

KURASA ZA MWANZO ZA MWISHO MAGAZETI YA MICHEZO LEO MARCH 9

. . . . ....

10 BORA YA WACHEZAJI WANAOONGOZA KUPIGA CHENGA NA KUTOA PASI BARANI ULAYA RONALDO HAYUPO HATA 20 BORA

Naposema “kufanikiwa au kukamilisha chenga” namaanisha kuwa unampiga mtu au watu chenga halafu unafanikiwa kuumiliki mpira bila kupokonywa na kisha kumpasia mwingine au kufunga au kufanya vyovyote vile, Yaani unapiga chenga bila kupokonywa mpira, Sasa hapo nadhani umenipata kwa ufafanuzi huo...

PICHA; HIVI NDIVYO SIMBA VS YANGA ZILIZYOONYESHANA UBABE MSIMABAZI WAKIIBUKA KIDEDEA

SIMBA IMEIBUKA NA USHINDI WA BAO 1-0 DHIDI YA YANGA KATIKA MECHI YA LIGI KUU BARA KWENYE UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR, LEO. HIZI NI SEHEMU YA PICHA ZA PAMBANO HILO KAMA HII, 'MUUAJI' WA LEO, EMMANUEL OKWI ALIVYOKUWA AKIPAMBANA NA KELVIN YONDANI... TAMBWE AKIPAMBANA NA JONAS MKUDE...

ILIANZA YANGA B KUSHUGHULIKIWA, IMEPIGWA NNE NA SIMBA B

TIMU ya vijana ya Simba SC imewafunga wapinzani wao, Yanga SC mabao 4-2 katika mchezo uliofanyika mchana wa leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.Mchezo huo wa utangulizi kabla ya timu za wakubwa za klabu hizo kumenyana katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara ulishuhudiwa...

LIVERPOOL YABANWA NYUMBANI KOMBE LA FA NA BLACKBURN ROVERS

Mshambuliaji wa Liverpool, Mario Balotelli akimtoka beki wa Blackburn Rovers, Conway katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA usiku wa leo Uwanja wa Anfield. Timu hizo zilitoka sare ya 0-0 na sasa zitarudiana Uwanja wa Ewood Park kusaka timu timu ya kwenda Nusu Fainali...

BARCA YAPAA KILELENI LA LIGA BAADA YA KUIFUMUA VALLECANO 6-1, MESSI APIGA TATU, SUAREZ MBILI

BARCELONA imepanda kileleni mwa La Liga, baada ya ushindi mnono wa mabao 6-1 dhidi ya Rayo Vallecano jana jioni Uwanja wa Nou Camp. Barca sasa inafikisha pointi 62, baada ya mechi 26, ikiishushia nafasi ya pili, Real Madrid yenye pointi 61, baada ya jana kufungwa 1-0 na Athletic...

HIVI NDIVYO KUPONOVIC ALIVYO SHANGILIA GOLI LA OKWI

Kocha wa Simba SC, Goran Kopunovic raia wa Serbia akishangilia bao la Emmanuel Okwi lililoipa timu yake ushindi wa 1-0 dhidi ya mahasimu, Yanga SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Anavuta kasi kurusha ngumi hewani Tayari ameutandika...