
BARCELONA
imepanda kileleni mwa La Liga, baada ya ushindi mnono wa mabao 6-1
dhidi ya Rayo Vallecano jana jioni Uwanja wa Nou Camp.
Barca
sasa inafikisha pointi 62, baada ya mechi 26, ikiishushia nafasi ya
pili, Real Madrid yenye pointi 61, baada ya jana kufungwa 1-0 na
Athletic...