SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

HII NDIO DROO KOMBE LA FA

SIMBA CHALII KESSY AONESHWA NYEKUNDU

MANARA APATA AJALI

MKENYA APIGA MBILI LIVERPOO IKIUA 4-1

Jun 30, 2016

GUARDIOLA ANAMTAKA STAA HUYU WA BARCELONA

Na Haji balou
Kocha mpya wa Manchester City Pep Guardiola anampango wa kumsajili kipa namba moja wa Timu ya Taifa ya Chile Na Klabu ya Fc Barcelona ya nchini Hispania Claudio Bravo.

Guardiola anataka kumsajili Bravo ambaye ameisaidia Timu yake ya  Taifa kushinda kombe la Copa America lakini pia kumpa changamota kipa namba moja wa Timu hiyo Joe Hart ambaye hajafanya vizuri katika michuano ya Euro inayoendelea nchini Ufaransa.

ATLETICO MADRID KUIBOMOA LIVERPOOL KWA STAA HUYU HAPA

Na Haji balou
Gazeti moja la nchini Hispania limeripoti kuwa Timu ya Atletico Madrid imeanza mazungumzo Na klabu ya Liverpool kwa ajili ya kumchukua mshambuliaji wa Timu hiyo Christian Benteke.

Benteke raia wa Ubelgiji amekuwa Na wakati mgumu katika kikosi cha Liverpool mbele Daniel Sturridge Na Divock Origi.

Benteke ambaye alisajiliwa Na Liverpool kwa Ada ya Euro million 32 akitokea Aston Villa Na Liverpool wapo tayari kumuuza kwa Euro million 24 Mpaka 30.