SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Feb 27, 2015

MESSI WA MBEYA CITY AREJEA DIMBANI

BAADA ya kuwa nje kwa majeruhi muda mrefu, kiungo mshambuliji  wa Mbeya City Fc, Alex Seth ‘Messi’ amerejea kikosini tayari kuendeleza mapambano katika kindumbwendumbwe cha ligi kuu ya soka Tanzania Bara. Seth amekaririwa na Tovuti ya Mbeya City fc akisema kuwa anamshukuru Mungu kwa kupona...

AZAM WAZIPOTEZA FITINA ZA WASUDANI

  MABINGWA watetezi wa ligi kuu soka Tanzania bara na wawakilishi wa nchi katika michuano ya ligi ya mabingwa Afrika, Azam fc wanaendelea kujifua nchini Sudan kuelekea mechi ya marudiano dhidi ya wenyeji Al Merrick itayopigwa kesho jumamosi usiku uwanja wa Odmarman, mjini Khartoum. Azam...

MCHEZAJI SERBIA ATISHIWA KUUAWA KWA BUNDUKI KISA KUKOSA PENALTI

MCHEZAJI wa klabu ya Ligi Kuu ya Serbia, Novi Pazar ametishiwa kupigwa bastola na mashabiki baada ya kukosa penalti, taarifa ya chama cha Umoja wa Wachezaji Duniani, FIFPro imesema jana. Ikiliita tukio hilo kama sheria mpya katika soka ya Serbia, FIFPro imesema kwamba mchezaji...

PLUIJM AWAPA UHAKIKA YANGA SC WANALING’OA JESHI LA BOTSWANA AFRIKA

Na Mwandishi Wetu, GABORONEKOCHA Mkuu wa Yanga SC, Mholanzi Hans van der Pluijm amewatoa hofu wapenzi wa timu hiyo kuelekea mchezo wa leo dhidi ya BDX XI, akisema kwamba; “tiketi ya kusonga mbele ipo”.  Yanga SC wanatarajiwa kuwa wageni wa timu hiyo ya Jeshi la Botswana katika mchezo...

WAZIRI WA KIKWETE ATUA SUDAN KUIPA ULINZI AZAM FC

Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Vijana na Michezo, Alhaj Juma Nkamia (kushoto) akizungumza na wachezaji wa Azam  FC mazoezini Uwanja wa Jeshi mjini Khartoum, Sudan usiku wa jana. Anayezungumza naye kulia ni mshambuliaji Mrundi, Didier Kavumbangu. Azam FC watacheza na wenyeji El Merreikh...

KURASA ZA MWANZO NA ZA MWISHO MAGAZETI YA MICHEZO LEO 27 FEB

. . . . . ....

NTAMPATA WAPI YA DIAMOND YASHIKA NAMBA 1 UFARANSA

. Kama wewe ni shabiki wa muziki wa Africa unaweza kuwa na hamu ya kufahamu ni single gani ambayo iko juu kwenye chati za muziki huu duniani…. kwa sababu kazi yangu ni kukusogezea zote muhimu, nakusogezea na hii kwamba video ya ‘Nitampata wapi’ ya Diamond Platnumz kupitia kituo cha TraceTV...

INTER MILAN NAYO YASONGA MBELE EUROPA LEAGUE

Van Dijk wa Celtic akigombea mpira na mshambuliaji wa Inter Milan, Mauro Icardi katika mchezo wa Europa League usiku huu mjini Milan. Inter walishinda 1-0 ma kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 4-3, baada ya sare ya 3-3 awali nchini Scotland...

MCHEZAJI WA CHELSEA AIADHIBU SPURS NA KUITUPA NJE ULAYA

+23 Mshambuliaji wa Chelsea, Mohammed Salah anayecheza kwa mkopo Fiorentina ya Italia, akishangilia baada ya kuifungia timu yake ya mkopo bao la pili katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Totenham Hotspur usiku nchini Italia katika mchezo wa Europa League. Bao la kwanza la Fiorentina lilifungwa...

LIVERPOOL YATUPWA NJE YA MICHUANO YA ULAYA

LIVERPOOL imetupwa nje ya michuano ya Europa League, baada ya kufungwa kwa penalti 5-4 na Besiktas kufuatia sare ya jula ya 1-1. Tolgay Arslan alitokea benchi na kuifungia Besiktas bao dakika ya 72 Uwanja wa Ataturk, Istanbul nchini Uturuki akimalizia ‘pande’ la Demba Ba na kufanya sare ya...