
BAADA ya kuwa
nje kwa majeruhi muda mrefu, kiungo mshambuliji wa Mbeya City Fc, Alex
Seth ‘Messi’ amerejea kikosini tayari kuendeleza mapambano katika
kindumbwendumbwe cha ligi kuu ya soka Tanzania Bara.
Seth amekaririwa na Tovuti ya
Mbeya City fc akisema kuwa anamshukuru Mungu kwa kupona...