Kocha Mkuu wa muda wa Simba, Jackson
Mayanja amewataka makipa Peter
Manyika na Vicent Agbani raia wa Ivory
Coast kuwa katika utimamu wa asilimia
mia kwa fitnesi.
Mayanja raia wa Uganda amewataka
makipa hao kuongeza mazoezi
kuhakikisha wanakuwa walinzi sahihi
katika kila dakika 90 za mechi.
“Kwa mchezaji...