SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Jan 19, 2016

MAYANJA ATOA NENO KUHUSU MAKIPA SIMBA

Kocha Mkuu wa muda wa Simba, Jackson Mayanja amewataka makipa Peter Manyika na Vicent Agbani raia wa Ivory Coast kuwa katika utimamu wa asilimia mia kwa fitnesi. Mayanja raia wa Uganda amewataka makipa hao kuongeza mazoezi kuhakikisha wanakuwa walinzi sahihi katika kila dakika 90 za mechi. “Kwa mchezaji...