
Frank Domayo wa Azam FC akifumua shuti katikati ya wachezaji wa Mbeya City leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam
MABINGWA
watetezi, Azam FC wamekwaa kisiki nyumbani, baada ya kulazimishwa sare
ya kufungana bao 1-1 na Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom
Tanzania...