SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Apr 8, 2015

AZAM FC WAUWEKA REHANI UBINGWA LIGI KUU, WALAZIMISHWA SARE 1-1 NA MBEYA CITRY

Frank Domayo wa Azam FC akifumua shuti katikati ya wachezaji wa Mbeya City leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam MABINGWA watetezi, Azam FC wamekwaa kisiki nyumbani, baada ya kulazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania...

TAMBWE APIGA NNE, SHERMAN AFUTA ‘MKOSI’ YANGA IKIUWA 8 - 0

Na Prince Akbar, DAR ES SALAAMYANGA SC imezidi kujisogeza karibu na taji la ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kufuatia ushindi wa mabao 8-0 dhidi ya Coastal Union ya Tanga jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Ushindi huo, unaifanya Yanga SC ifikishe pointi...

MECHI YA YANGA NA MBEYA CITY YAAHIRISHWA

Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMSHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeingia katika majaribu ya kuivuruga tena ratiba ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara- na mchezo kati ya Yanga na Mbeya City Jumamosi wiki hii huenda usifanyike.Mchezo huo unaweza kuahirishwa kupisha mchezo wa...

ILE ISHARA YA KUTULIZA, CHANONGO ASEMA ALIWATULIZA SIMBA

Kiungo mshambuliai wa timu ya Stand United, Haruna Chanongo, amewatuliza mashabiki wa Simba waliokuwa wakimzomea katika mchezo wa Stand United na Mtibwa Sugar baada ya kufanikiwa kuifungia timu yake bao pekee kwenye mchezo huo dhidi ya Mtibwa. Mashabiki wengi wa Simba walikuwa jukwaani...

ALICHOSEMA KAVUMBAGU KUHUSU USAJILI WAKE YANGA

Suala la usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Azam, Mrundi, Didier Kavumbagu, imechukua sura mpya baada ya kutoa kipindi cha muda wa mwezi mmoja ambapo ni sawa na siku 30, kabla hajajua kama atajiunga na Yanga ama la. Kavumbagu ambaye amekuwa lulu katika kikosi cha Azam tangu atue...

KURASA ZA MAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMATANO

...