
Mabao mawili aliyofunga Danny Sserunkuma
wakati Simba ikiimaliza Ruvu JKT kwa mabao 2-1 leo, amezawadiwa Kocha Goran
Kopunovic.
Wachezaji Simba wameamua kumzadia kocha huyo
mabao hayo kwa kuwa leo ni siku yake ya kuzaliwa, anafikisha miaka 48.
Kabla ya mchezo huo, Kopunovic aliwaomba
wachezaji...