SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Feb 1, 2015

MATOKEO KUTOKA NOU CAMP BARCELONA

Sasa ni  mapumziko  Barcelona 1 - 1 Villareal...

GOOOOOOAAAAALLLLLL

Ivory coast 1 - 1 Algeria dakika ya ...

RUVUSHOOTING WANG'AA LIGI KUU BARA

 Ruvushootingi imeendeleza ubabe katika ligi kuu Tanzania bara baada ya kuifunga Stand United goli 2-1 katika uwanja wa mabatini uliopo Mlandizi Mkoani Pwani. Katika mchezo huo uliokuwa mkali na wa kusisimua, Ruvu walikuwa wa kwanza kufunga kupitia kwa Juma Nade dakika ya tano , kabla ya Khamisi...

WATAKAO ANZA BARCELONA DHIDI YA VILLAREAL HAWA HAPA

KIKOSI CHA BARCELONA KITAKACHO ANZA LEO DHIDI YA VILLAREAL Timu ya Barcelona imetoa kikosi chake cha kwanza kitakacho pambana na Villareal usiku huu.  13 Bravo  22 Alves  3 Piqué  14 Mascherano  18 J.Alba  5 Sergio 8 Iniesta  12 Rafinha  11 Neymar  9 Suárez  10 Mes...

CHRISTIAN ATSU AIBEBA GHANA AFCON

Michuano ya kombe la mataifa ya Afrika imeendelea hii leo kwa kushuhudia mchezo mmoja wa hatua ya robo fainali ukizikutanisha Ghana pamoja na Guinea . Katika Mchezo huo Ghana walifanikiwa kufuzu hatua ya nusu fainali wakiwafunga Guinea kwa mabao matatu bila . Ghana walianza kazi mapema...

DE GEA MGUU NDANI MGUU NJE MAN UNITED

Tetesi kuhusu mustakabali wa kipa Mhisapnia David De Gea ndani ya klabu ya Manchester United zimezidi kuibuka ambapo kila siku ameendelea kuhusishwa na kujiunga na mabingwa wa ulaya Real Madrid ambao wametajwa kuwa na mpango wa kumsajili kipa huyo . Taarifa toka England na Hispania zinasema...

YANGA YABANWA NA NDANDA LEO TAIFA

Ligi kuu ya soka Tanzania Bara imeendelea hii leo kwa michezo miwili iliyopigwa jijini Dar-es-salaam pamoja na huko mkoani pwani ambako timu nne zilikuwa viwanjani zikisaka pointi tatu muhimu . Jijini Dar-es-salaam uwnaja wa taifa ulishuhudia mchezo kati ya mabingwa wa zamani wa ligi...

ARSENAL WAFANYA MAUAJI KWENYE EPL

Washika bunduki toka jijini London Arsenal hii leo (jumapili) wamefanikiwa kuwafunga Aston Villa kwa ushindi mnono wa 5-0 katika mchezo uliopigwa kwenye uwanja wa Emirates katika muendelezo wa ligi kuu ya England . Arsenal walianza mchezo huo kwa kasi wakifunga bao la haraka kwenye dakika...

BREAKING NEWS;

WAPENDWA WASOMAJI, BLOG HII ITA BADILISHWA JINA NA SASA UTAIPATA KUPITIA WWW.HAJIBALOU.BLOGSPORT.COM TUNAOMBA RADHI KWA USUMBUFU UTAKAO JITOKEZ...

FULL TIME; ARSENAL RAHA TUPU

Arsenal imeibuka na ushindi wa goli 5-0 dhid ya Aston Villa...

KUTOKA EMIRATES ; GOOOOAAALLL

Arsenal 4-0 Aston Villa  dakika ya ...

KUTOKA TAIFA FULL TIME

Yanga     0-0    Ndanda ...

LINEX AMEANZA KUSHOOT VIDEO YAKE MPYA ALIYO MSHIRIKISHA DIAMOND TAZAMA PICHA HAPA

. Diamond Platnumz na Linex Jan 31, waliingia location kutengeneza video ya wimbo wao mpya uitwayo Salima.Video hiyo mpya iliyotengenezwa kijijini imeongozwa na director Adam Juma. Hizi ni baadhi ya picha za utengenezaji wa video hiyo mpya. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Huyu...

MATOKEO KUTOKA EMIRATES

Arsenal  1 -0 Aston villa dakika ya ...

KISIGA AJITOA SIMBA

Kiungo mshambuliaji wa Simba Shabani Kisiga "Malone" amejitoa katika klabu ya Simba Sc kwa sababu ambazo bado hajaziweka  wazi . Kisiga alibeba vitu vyake baada ya kuisha mechi ya Mbeya City jumatano Uwanja wa Taifa na kuwaambia wenzake kama anaondoka na azima simu zake zote ili akipigiwa asipatikane. Katika...

ALICHOSEMA BEN POL KUHUSU NYIMBO YA SOPHIA

 Star wa muziki wa R&B hapa Bongo, Ben Pol ametoa ya moyoni kuwa kwa namna flani, ngoma yake mpya ya SOPHIA ni rekodi ambayo ameifanya maalum kwaajili ya mtu wake wa karibu sana.   Ben Pol Pol amesema kuwa mambo yakifanikiwa kuwa rasmi atamuweka wazi kwa watanzania ili wajue. Ben...

SIMBA YA PIGWA FAINI YA SH MILIONI 3

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeipiga klabu ya Simba faini ya sh. milioni tatu kutokana na timu yake kuvaa jezi ambazo hazikuwa na nembo ya mdhamini wa Ligi Kuu, kampuni ya Vodacom wakati wa mechi yao dhidi ya Kagera Sugar. Mechi hiyo namba 50 ya Ligi Kuu ya Vodacom ilichezwa...

PLUIJIM ATAKA YANGA WAFUTE MAKOSA LEO TAIFA

  Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm amesema mechi ya leo dhidi ya Ndanda ni sahihi kwao kujirekebisha na kuyafanyia kazi waliyojifunza kwa zaidi ya siku 7. Yanga inaikaribisha Ndanda FC katika mechi ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar, leo. Pluijm raia wa Uholanzi...

HII NDIO ZAWADI ALIYOPEWA KOCHA WA SIMBA

Mabao mawili aliyofunga Danny Sserunkuma wakati Simba ikiimaliza Ruvu JKT kwa mabao 2-1 leo, amezawadiwa Kocha Goran Kopunovic. Wachezaji Simba wameamua kumzadia kocha huyo mabao hayo kwa kuwa leo ni siku yake ya kuzaliwa, anafikisha miaka 48. Kabla ya mchezo huo, Kopunovic aliwaomba wachezaji...

MSIMAMO LIGI KUU ENGLAND

                                           BAADA YA MECHI ZA JANA                          Premier...