SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 9, 2016

PLUIJM APR NI WAZURI LAKINI TUTAPAMBANA

Na Haji balou KOCHA Mkuu wa Yanga SC, Mholanzi Hans van der Pluijm amesema kwamba wanakwenda kwenye mchezo mgumu wa ugenini dhidi ya APR, lakini watapambana wasipoteze. Pluijm amesema kwamba mchezo huo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika, utakuwa mgumu kwa sababu APR ni timu nzuri. “APR...