SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

HII NDIO DROO KOMBE LA FA

SIMBA CHALII KESSY AONESHWA NYEKUNDU

MANARA APATA AJALI

MKENYA APIGA MBILI LIVERPOO IKIUA 4-1

Mar 9, 2016

PLUIJM APR NI WAZURI LAKINI TUTAPAMBANA

Na Haji balou
KOCHA Mkuu wa Yanga SC, Mholanzi
Hans van der Pluijm amesema
kwamba wanakwenda kwenye
mchezo mgumu wa ugenini dhidi ya
APR, lakini watapambana wasipoteze.

Pluijm amesema kwamba mchezo huo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika, utakuwa mgumu kwa sababu APR ni timu nzuri.
“APR ni timu nzuri na watakuwa
wamejiandaa vizuri, lakini sisi tuko
vizuri, tutakwenda kupambana
tusipoteze mchezo, ili tumalizie vizuri
mchezo wa nyumbani,”amesema.
Yanga SC inatarajiwa kuondoka kesho nchini kwenda Kigali, Rwanda kwa ajili ya mchezo huo, unaotarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua.