
Na Haji balou
KOCHA Mkuu wa Yanga SC, Mholanzi
Hans van der Pluijm amesema
kwamba wanakwenda kwenye
mchezo mgumu wa ugenini dhidi ya
APR, lakini watapambana wasipoteze.
Pluijm amesema kwamba mchezo huo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika, utakuwa mgumu kwa sababu APR ni timu nzuri.
“APR...