SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Jan 27, 2016

TETESI KUHUSU KOCHA MPYA MAN UNITED NA CHELSEA

Taarifa kutoka Manchester United zimedai kwamba uongozi wa klabu hautakata tamaa kufuatilia saini na na huduma za meneja Pep Guardiola anayemaliza muda wake katika Bayern Munich, ingawa habari zilitependekeza kwamba atajiunga na mahasimu Manchester City. Mtendaji Makamu Mwenyekiti Ed-Wood Ward anataka...

KIPRE AIOKOA AZAM DAKIKA ZA JIONI DHIDI YA ZESCO

KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC imeanza kwa sare katika harakati zake za kuwania ubingwa wa michuano maalumu nchini Zambia baada ya jioni ya leo kupata matokeo ya bao 1-1 dhidi ya wenyeji wao Zesco United ya huko. Kocha wa Azam FC, Stewart Hall, aliingia kwenye mchezo huo kwa kukifanyia...

ALICHOSEMA SUAREZ KUHUSU YEYE KUCHEZA TENA ENGLAND

Mshambuliaji hatari wa Barcelona, Luis Suarez amezungumzia uwezekano wa yeye kurudi nchini England na kuichezea klabu yake ya zamani ya Liverpool, huku akisema kuwa ndio klabu pekee anayoweza kurudi England kwa ajili yake. Suarez ambaye aliichezea Liverpool kwa kipindi cha miaka 2 na nusu kabla ya kusajiliwa...

HUYU NDIYE MCHEZAJI ANAYEMZIDI MESSI KWA MAGOLI

Mashabiki wengi wa kilabu ya Athletic Bilbao wangecheka iwapo ungetaja miaka ya nyuma kwamba Aritz Aduriz angelinganishwa na Lionel Mesii,Cristiano Ronaldo na Luiz Suarez. Mchezaji huyo anayekaribia miaka 35 ameingia katika kumbukumbu za daftari lenye wachezaji wenye mabao mengi pamoja na Messi,Suarez,Karim...