WACHEZAJI wa Klabu Bingwa ya Afrika
Mashariki na Kati Azam FC, wamepewa
mapumziko ya wiki tano baada ya
kumaliza mechi ya mwisho ya msimu wa
2015/16 dhidi ya Yanga kwenye mchezo
wa fainali ya Kombe la Shirikisho (Azam
Sports Federation Cup) juzi jioni.
Azam FC inayodhaminiwa na Benki ya
NMB ambayo ni...