SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 8, 2016

ULIMWENGU YUPO FITI KUCHEZEA TAIFA STARS DHIDI YA CHAD

NA Haji balou MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Thomas Emmanuel Ulimwengu (pichani) yuko fiti kabisa sasa na atakuja nchini kuichezea nchi yake mechi mbili za Kundi G kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwakani. Na klabu yake, Tout Puissant Mazembe imemruhusu kuja Dar es Salaam kuugana...

MAHREZ ANAWEZA KUJIUNGA NA TIMU HII MSIMU UJAO

NA Haji balou Leicester City wanaweza kuwa wamebakiwa na mechi 9 tu za kumuona star wao Riyad Mahrez akifanya mazuri kwenye club hiyo. Ikifika muda wa usajili kutakua na vita kubwa kwa club mbalimbali kubwa kutaka kuchukua wachezaji kutoka Leicester City ambao wanakikosi kizuri kwa ushirikiano na hata...