
NA Haji balou
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa
Tanzania, Thomas Emmanuel
Ulimwengu (pichani) yuko fiti kabisa sasa na atakuja nchini
kuichezea nchi yake mechi mbili za
Kundi G kufuzu Fainali za Kombe la
Mataifa ya Afrika mwakani.
Na klabu yake, Tout Puissant
Mazembe imemruhusu kuja Dar es
Salaam kuugana...