
Na Haji balou
MSHAMBULIAJI wa TP Mazembe ya
DRC, Thomas Emmanuel Ulimwengu
'Rambo' jana hakufanya mazoezi na
timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars
kwa sababu ya maumivu ya mguu.
Ulimwengu baada ya kuwasili na
wachezaji wenzake Uwanja wa Taifa,
alijaribu kufanya mazoezi ya awali ya
kuamsha misuli kidogo,...