SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Jun 3, 2016

ULIMWENGU HATARINI KUWAKOSA MISRI

Na Haji balou MSHAMBULIAJI wa TP Mazembe ya DRC, Thomas Emmanuel Ulimwengu 'Rambo' jana hakufanya mazoezi na timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kwa sababu ya maumivu ya mguu. Ulimwengu baada ya kuwasili na wachezaji wenzake Uwanja wa Taifa, alijaribu kufanya mazoezi ya awali ya kuamsha misuli kidogo,...