SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 24, 2015

KURASA ZA MWANZO NA ZA MWISHO ZA MAGAZETI YA MICHEZO LEO MARCH 24 2015 ZIPO HAPA

. . ....

SAMATTA NA ULIMWENGU WAREJEA NYUMBANI JANA KUICHEZEA STARS DHIDI YA MALAWI MWANZA

Na Prince Akbar, DAR ES SALAAMWASHAMBULIAJI wawili wa TP Mazembe ya DRC, Thomas Ulimwengu na Mbwana Samatta watawasili usiku wa leo kwa ajili ya kujiunga na kikosi cha timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars.Wawili hao wamo katika kikosi cha wachezaji 27 cha Stars kitakachoingia...