SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 15, 2016

KOMBAINI FC YAICHAPA LIKONGOWELE FC

Na Haji balou Ligi ya Mbuzi Vijana Cup wilaya ya Liwale imeendelea tena hii leo  kwa mchezo mmoja kupigwa  katika uwanja wa shule ya msingi Muungano kwa Kombaini fc kuibuka na ushidi  wa  3-1 dhidi  ya  Likongowele fc. Magoli ya Kombaini  fc yamefungwa...