
Mshambuliaji
wa Bayern Munich, Thomas Muller akishangilia na mchezaji mwenzake,
Thiago baada ya ushindi wa 6-1 dhidi ya FC Porto katika mchezo wa
marudiano wa Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya jana Uwanja wa Allianz
Arena mjini Munich, Ujerumani. Mabao mengine ya Bayern yalifungwa na Thiago,...