SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

HII NDIO DROO KOMBE LA FA

SIMBA CHALII KESSY AONESHWA NYEKUNDU

MANARA APATA AJALI

MKENYA APIGA MBILI LIVERPOO IKIUA 4-1

Apr 22, 2015

KURASA ZA MWANZO NA ZA MWISHO ZA MAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMATANO ZIPO HAPA


 DSC01628 DSC01629 DSC01630 DSC01631 DSC01632

BARCA WAITAFUNA UPANDE WA PILI PSG, WATINGA NNE BORA ULAYA KIULAINI

Neymar (top) celebrates with Brazilian compatriot Dani Alves after scoring his and Barcelona's second goal of the night
Neymar (juu) akishangilia na Mbrazil mwenzake, Dani Alves baada ya kuifungia mabao yote Barcelona jana katika ushindi wa 2-0 dhidi ya PSG ya Ufaransa katika Robo Fainali ya pili Ligi ya Mabingwa jana Uwanja wa Camp Nou. Barca sasa inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 5-1, baada ya awali kushinda 3-1 Paris.

BAYERN MUNICH WATINGA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ILE KIBABE HASWA


Muller lets out a roar in celebration and is congratulated by fellow goalscorer Thiago as the Bavarians took full control of Tuesday's tie
Mshambuliaji wa Bayern Munich, Thomas Muller akishangilia na mchezaji mwenzake, Thiago baada ya ushindi wa 6-1 dhidi ya FC Porto katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya jana Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich, Ujerumani. Mabao mengine ya Bayern yalifungwa na Thiago, Boateng, Lewnadowski mawili na Alonso 88, wakati la Porto lilifungwa na Martinez,dakika ya 73. The Bavarians sasa wanasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 7-4 baada ya awali kufungwa 3-1 mjini Munich.