SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Apr 22, 2015

KURASA ZA MWANZO NA ZA MWISHO ZA MAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMATANO ZIPO HAPA

  ...

BARCA WAITAFUNA UPANDE WA PILI PSG, WATINGA NNE BORA ULAYA KIULAINI

+16 Neymar (juu) akishangilia na Mbrazil mwenzake, Dani Alves baada ya kuifungia mabao yote Barcelona jana katika ushindi wa 2-0 dhidi ya PSG ya Ufaransa katika Robo Fainali ya pili Ligi ya Mabingwa jana Uwanja wa Camp Nou. Barca sasa inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 5-1,...

BAYERN MUNICH WATINGA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ILE KIBABE HASWA

Mshambuliaji wa Bayern Munich, Thomas Muller akishangilia na mchezaji mwenzake, Thiago baada ya ushindi wa 6-1 dhidi ya FC Porto katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya jana Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich, Ujerumani. Mabao mengine ya Bayern yalifungwa na Thiago,...