SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 18, 2015

KIKOSI BORA VPL KILICHOTAJWA NA KOCHA JOSEPH KANAKAMFUMU

Salum Telela ni miongoni mwa wachezaji waliongia kwenye kikosi bora cha Kanakamfumu BAADA ya kuona vikosi bora vya ligi kuu soka Tanzania bara msimu wa 2014/2015 uliomalizika mei 9 mwaka huu kutoka kwa makocha Hans van der Pluijm (Yanga), Jamhuri Kiwhelo (Coastal Union), Juma Mwambusi (Mbeya...

RASMI;SIMBA YAMWAGANA NA GORAN KOPUNOVIC

Goran Kopunovic UONGOZI wa Simba umethibitisha rasmi kuachana na aliyekuwa kocha mkuu wake, Mserbia Goran Kopunovic baada ya kushindwa kufikia makubaliano juu ya mkataba mpya. Mwenyekiti wa kamati ya usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe amesema Kopunovic...

BARCELONA MABINGWA WAPYA LA LIGA

Messi akishangilia goli la ubingwa LIONEL Messi amewapa Barcelona ubingwa wa La Liga msimu wa 2014/2015  baada ya kuifungia bao pekee katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji Atletico Madrid  kwenye uwanja wa Vicent Calderon. Messi amefunga goli hilo katika dakika ya 65′ akimalizia pasi...