
Bondia nyota duniani, Manny Pacquiao amerejea kwao Ufilipino ikiwa ni
siku chache baada ya kufanyiwa upasuaji katika bega lake nchini Marekani.
Manny alipokelewa na mashabiki na watu mbalimbali katika jiji na Manila.
Huku mkono wake ukiwa umefungwa, lakini bado alionekana...