SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 13, 2015

BAADA YA UPASUAJI MAREKANI, HATIMAYE PACQUIAO AREJEA KWAO UFILIPINO

   Bondia nyota duniani, Manny Pacquiao amerejea kwao Ufilipino ikiwa ni siku chache baada ya kufanyiwa upasuaji katika bega lake nchini Marekani. Manny alipokelewa na mashabiki na watu mbalimbali katika jiji na Manila. Huku mkono wake ukiwa umefungwa, lakini bado alionekana...

WAWILI WATEMWA SIMBA

Msimu umeisha wachezaji mbalimbali kutoka kwenye timu tofauti duniani wanahama kutoka kwenye timu moja hadi nyingine. Huko Ulaya mambo ni yamoto kwa upande wa kijana Pogba na hapa bongo hii ndio habari mpya. Hawa ni wachezaji wawili wa Simba ambao wametoa taarifa kwenye page zao za social mediak...

HII NDIO IDADI YA MABAO YALIYOFUNGWA KWENYE LIGI YA VODACOM 2014/2015

Yanga imeongoza kwa kufunga mabao mengi msimu huu huku Simon Msuva akifunga mabao 17. Mabingwa wa Tanzania bara Dar Young Africans imefunga magoli 52 ambayo ni asilimia 15 ya mabao yote yaliyofungwa msimu huu. kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi Jumla ya mabao 348 yamefungwa msimu huu na timu...

PLUIJM ATAJA KIKOSI BORA VPL 2014/2015 SIMBA NAO WAPO

MSIMU wa 2014/2015 wa ligi kuu soka Tanzania bara umemalizika mwishoni mwa juma lililopita (Mei 9 mwaka huu) na kushuhudia Yanga wakitangazwa mabingwa, Azam nafasi ya pili, Simba nafasi ya tatu, Mbeya City nafasi ya nne, huku Ruvu Shooting na Polisi Morogoro zikishuka daraja. MSIMAMO MZIMA HUU...

SIKILIZA HII YA HANS POPPE KUHUSIANA NA KOPUNOVIC

HANS POPPE Bosi wa kamati ya usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe amesema Kocha Goran Kopunovic ana kila sababu ya kuchagua, abaki au aende. Hans Poppe amesema mazungumzo yao na Kopunovic ametaka dau kubwa hadi Sh milioni 28 kwa mwezi kama mshahara. “Kweli bado hatujaelewana katika suala...

SUAREZ KUKOSA COPA AMERICA

Mshambuliaji nyota wa timu ya Barcelona Luis Suarez atakuwa nje ya michuano ya mataifa ya Amerika ya kusini maarufu kama Copa America kutokana na kuendelea kutumikia adhabu ya kukosa michezo tisa kufuatia kosa la kumng’ata beki wa Italia Giorgio Chielini kwenye michuano ya kombe la dunia...