SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Jan 13, 2016

SAMATTA KUTIKISA ZANZIBAR LEO

MWANASOKA Bora Anayecheza Afrika, Mbwana Ally Samatta kesho atatambulishwa kwa Wazanzibari wakati wa mchezo wa fainali ya Kombe la Mapinduzi, kati ya Mtibwa Sugar na URA ya Uganda. Katibu wa Kamati ya Kombe la Mapinduzi, Mwinyimvua Khamis ameiambia BIN ZUBEIRY SPORTS – ONLINE leo kwamba Samatta atawasili...