
MWANASOKA Bora Anayecheza
Afrika, Mbwana Ally Samatta kesho
atatambulishwa kwa Wazanzibari
wakati wa mchezo wa fainali ya
Kombe la Mapinduzi, kati ya Mtibwa
Sugar na URA ya Uganda.
Katibu wa Kamati ya Kombe la
Mapinduzi, Mwinyimvua Khamis
ameiambia BIN ZUBEIRY SPORTS –
ONLINE leo kwamba Samatta
atawasili...