SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

HII NDIO DROO KOMBE LA FA

SIMBA CHALII KESSY AONESHWA NYEKUNDU

MANARA APATA AJALI

MKENYA APIGA MBILI LIVERPOO IKIUA 4-1

May 12, 2016

WAKAANGA SUMU WAICHAPA KUBOTA FC

Na Haji balou
Mpambano kati ya Kubota fc Na Wakaanga sumu fc  umemalizikaa kwa Wakaanga Sumu fc kuibuka Na ushindi wa goli 1- 0 katika mchezo uliopigwa katika uwanja wa Shule ya msingi Muungano.

Goli pekee la Wakaanga Sumu fc limefungwa Na Ema Ema katika dakika ya 60.